Wakuu
Tuendelee kuchukua tahadhali na kujikinga dhidi ya COVID19. Ni wiki sasa imepita tangu nilipokutana na kushirikiana mwanamke mmoja hivi hapa Jijini Dar es Salaam
Kiukweli nilimsukumia kitu pekupeku maana sijazoezoa habari za kula pipi na ganda lake. Specifically ilikua 27 April, leo hii...
Mkuu mimi nilikua muoga zaidi yako
Jitoe tu, risk zipo kila sehemu
Nunua chombo utafute bodaboda mzoefu na anayeaminika kijuwe fulani mpe kazi akutafute dereva mzuri..usikurupuke
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba ni makabiziano tu kwamba umemkabizi dereva pikipki, kila siku ataleta kiasi fulani basi
Pikipiki anashinda na kulala nayo kama yake vile
Service ikitokea mnakutana mnarekebisha, kila baada ya siku 7 mnabadili oil na hapo ndio unapata wasaa wa kuikagua pikipiki pia
Kinachosumbua ni...
Habari Jf
Hii imetokea huko mkoani Ruvuma wilayani Tunduru, katika kipindi hiki cha covid19 wanafunzi 100 wamepata ujauzito
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu
Hii kitu haikusaidii kitu its better ukaendeleza dozi ya juisi ya tangawizi na limao
Kikubwa stay home, kula vizuri
Jifanyishe vimazoezi vya hapa na pale ukiwa ndani kuepuka kusambaza corona huko
Kijana wewe usiogope utapona
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi pata michango ya wadau humu katika mambo ya msingi kama haya
Ila anzisha thread za kutoomba na kutoombwa utawakuta watalaamu wamejazana
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.