Habari wakuu,naomba muongozo nahitaji nipate kifaa cha internet ambacho ni UNLIMITED.,watumiaji tupo kama 32.Je ni kifurushi cha bei gani kitatufaa kama staff?zingatia kwamba mimi ni mwalimu.🙏🙏
Hazijavuja ,wameuza wenyewe maana sio bahati mbaya kinachotokea,fikiria unafanya se na menzi wako lakini mwanaume unajificha maungo yako hayaonekani,means upo kwenye misheni.
Mange anaingiza zaidi ya 300M,akimpa Aslay 100M wana hasara gani?
Hiki napata nikiwa na bei gani mkuu??nataka hiki kifurushi kwa ajili ya staff,tupo kama watu 30 hv,vipi itanifaa??
Sent from my Pixel 4a using JamiiForums mobile app
Huyu alianza vizuri sana ila sasa hivi amwshakuwa kama Influencer,motivational speaker,ameacha kanisa lake hapa Morogoro ameamua kuzurura.Mimi ni muumini wake sana ila alipoanza kudeal na akina mama nikaghadhabika sana.
Sent from my Pixel 4a using JamiiForums mobile app
Kuwa na amani mkuu,huduma hii wanatoa wao wenyewe tigo.Sio mtu binafsi,hata mfumonwa ulipiaji unalipia tigo wao wenyewe.piga 100 uulize tigo kuhusu hiyo kitu.
Na vipi kama nataka kupanda au ku upgrade kifurushi changu? Mfano nina cha gb15 kwa 15k,sasa nataka nipate cha 15k gb 10 na dk 400.. Vipi inawezekana hii??
Serikali inaibiwa sana kupitia huu mfumo na haioni tatizo imekaa kimya kuamini sana kila kitu kinaenda sawa. Mifumo inachezewa fedha zinaibwa kila uchao. Hizi control namba ndo zinaibiwa balaa. Si mnakumbuka jamaa wa Iringa aliyechezea max malipo? Sasa serikali inapigwa sana na watu wamekaa kimya.
Mimi binafsi nampongeza rais kwa kuwakodishia bandari wabia wengine.
Bandari pengine inaleta faida kidogo sana na janja janja zimekuwa nyingi mno.
Mheshimiwa rais angalia na namna ya kubinafsisha mashirika mengine kama vile tanesco na mashirika ya maji. Mashirika haya yamefanya kazi kwa kusua...
Mimi nmepakua hii mood sms lakini bado naona mapicha picha, kile kama kikalamu pale chini ukishalock some sms kinabadilika kinakuwa chekundu na kinaonesha kikufuli. Sasa sisi wengine wake zetu ni wajanja, wasomi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.