Jipatie kiwanja chako sasa kwa Mkopo wa miezi 72. Viwanja vyetu vimepimwa vina hati miliki kutoka wizarani.
Malipo ya awali ni 25% kisha iliyobaki utailipa taratibu kila mwezi kwa miezi 72
Katika kila picha hapo chini kuna maelezo yote ikiwemo bei per sqm
Karibuni.
Tupigie
+255625142895
Lipia 50% ya gari unayotaka kisha lipia kiasi kilichobaki ndani ya miezi 24 huku ukiendelea kutumia gari lako.
Below ni check list yetu
Kwa maelezo zaidi Pm
Tunakuletea mkopo kabambe wa ujenzi wa nyumba.
Tunatoa mkopo wa kujengewa nyumba ambapo utajengewa nyumba yako na kukabidhiwa funguo zako kisha kuanza kutumia nyumba yako utakavyo wewe.
Jinsi ya kulipia utaanza kwa kulipia 20% ya gharama zote za nyumba unayotaka kisha kiasi kilichobaki...
Wanahitajika maafisa mikopo mikoa ya Dar na Arusha
VIGEZO
Uwe na uwezo mzuri wa kuongea na kujieleza kwa kujiamini mbele za watu wengi.
ELIMU
Uwe umemaliza kidato cha nne
MSHAHARA
Tunalipa kutokana na kazi unayoifanya kuanzia 15,000 kwa siku.
Iwapo kila siku utaleta watu wawili tu utalipwa...
Vilikua vinatumiwa na watoto vinauzwa na magodoro yake..pia utapewa na net yake ya chuma
Vitanda vyote ni vya chuma mpaka chaga ni chuma
Bei 440,000 haipungui
Picha njoo 0764767407
SEGUIN CREDIT INVESTMENTS
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura
b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara
c) Ada za shule.
- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu...
Habarini wajasiliamali
Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nataka nianze biashara ya umachinga naombeni ushauri biashara gani inatoka sana huko mitaani hasa maeneo ya mjini kama kariakoo kwa mtaji wa elf 20
Mimi niko mkoani Arusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.