sio swala la kupiga kura tu!
Kama unapenda siasa jitahidi kuelewa sio kukariri!kazi ya upinzani sio kuwasifu ccm !dhaifu ni pamoja na hoja za kingakinga kama hizi!
Nilijua unahoja ya maana kumbe ni udhaifu tu!sasa chadema kwishnei wapi
Jamaa wawili walimaliza mafunzo ya ujasirimali hivyo wakahadiwa kupata mtaji wa milioni 10 iwapo wangezalisha faida ya 20% kutoka katika mtaji ambao wangepewa.Basi jamaa wakachukua sh.500,000/= wakaenda kijiji kimoja,wakachapisha matangazo kwamba wananunua NYANI mmoja sh.10,000 siku ya pili...
Ripoti ajali ya meli yatolewa Zanzibar
19 Januari 2012 17:58
Serikali ya Zanzibar leo imetoa ripoti ya uchunguzi
wa kuzama kwa meli ya MV Spice Islander hapo
Septemba 10, 2011 eneo la Nungwi, Kaskazini mwa
kisiwa cha Unguja.
Aliyetoa ripoti hiyo kwa niaba ya serikali alikuwa
katibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.