Sawa mkuu..... Zifuatilie kwa ukaribu na makini.
Ikiwezekana na uzuri na ubaya wake piaaa.
Ila moja Zuri Ni kwenye kiwese, alhamdullillah mchina aiseee hahhahhahahhaaaaaaa
Pole na majukumu mkuu....
Nilikuwa naulizia gari kampuni ya FOTON body type SUV., huku nawaona nayo wakuu wa vitengo tuu na katika misafara ya viongozi, na katika zunguka zunguka yangu sijawahi iona ya private.
Vipi inaweza kupatikana? Maana nimevutiwa nayo na wahusikaaa wanasema kiwese sio Kama...
Apson ndio boss aneyemuelewa Mr: BENARD njee na ndani
Na after baba Lidhi kutake over, mdogo mtu Mr : BENARD akakengeuka kwa wakuu wake wa kazi wa zamani, kitu kilichopelekea boss Apson kuwa mwana propa wa ENL na kumbwaga Mr: BENARD.
So kwaiyo JIWE anabet kwa boss, mbinu walizotumia kusizishi...
Basi la Milioni kadhaa liwake Moto,abiria waokolewe wote,na mizigo itoke salama pia.... Zaidi zaidi piaaa Leo tar 20/08/2018 wanasherehe katika cumpus yao kuu ya Kigoma kwa sherehe wamearika watu maarufu,na viongozi wa dini mbali mbali na viongozi wa serikali Kama Ni ushirikina asii kafara yao...
Mzee Kama Ni mtendaji ndio tatizo... Asiii Kuna mwanasheria tena wilaya hapa pia lilikuwa koloni lililoleta mushkeri mji hapa.
Basii wazee watakuwa na visasi vyao Tangu idarani.,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.