Habari.Mimi in kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 26 ninaitwa Asante Mbagule Njehani kabila langu ni Mpogoro.
Natafuta kazi yoyote inayohusiana na taaluma yangu KILIMO NA MIFUGO.nimesoma general agriculture na nimefuzu katika ngazi ya astashahada na stashahada kwa muda wa miaka mitatu...
Duuh kumfanya mpenzi wko wa zamani kuwa rafiki yko ni sawa na kuchukua muwa na kuufanya fimbo y kutembelea na pale utakaposikia njaa au kupata hamu utauchukua fasta na kuula muwa ule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.