Mambo vipi wana Jamvi?
nina shida moja naomba mnisaidie.
ninatafuta website za kingereza ambazo hazijawa monetized na adsense.
naomba anaezijua au anaeijua anisadie tafadhali
Habari Wadau Wa JF,
Naomba kuuliza ni kitu gani nizingatie kabla sijanunua Laptop?
Ninapenda Sana Laptop za HP.
Naomba muongozo wadau.
Natanguliza Shukrani.
Asubuhi ya leo Tanzania imezipokea taarifa za kifo cha aliyekuwa Mumewa Zamani wa IRENE UWOYA na Kocha msaidizi wa timu ya RAYON SPORTS ya Rwanda, HAMAD NDIKUMANA KATAUTI ambae amefariki ghafla.
Mwandishi wa habari za Michezo Wa FOOTBALL SITE ameripoti kwamba Gakwaya Olivier ambae ni Afisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.