nadhani wangetumia tu busara, hapo lengo inakuwa kama kumchafua mzee, haya mambo ni magumu kupata proof ya kimazingira rahisi maana mzee ni wa idara, asingeweza kupiga picha kirahisi rahisi mazingira hatarishi, na picha enzi hizo hazikuwa readily kama siku hizi. Kama nikweli na walimtafuta...
huu ndio udhaifu mkubwa kabisa wa watu wengi, uko nje kabisa ya mada, tumalizane na hili lililoletwa mezani lijibiwe kwa hoja tuhamie kwingine. Huwezi kupelekwa mahakamani kusomewa mashtaka halafu unapewa nafasi ya kujitetea ukaanza kuelezea waliokutuhumu walivyo na makosa
kwahiyo ww unamuona huyo jamaa mjanja sana? na kwa tabia hizo ulizoeleza za huyo mbwiga anayetoa saport kwa mwanae ndani ya familia ya baba k, eg umri umkwnda, bachela na nimtu wa kubadili vsichana daily bila shaka baba k kuna viashiria kaona na ameamua kudhibiti mapema kunusuru ndoa, mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.