Huu ni uwoga mkuu ni haki ya Team husika kupigania haki zake kwa kile walichokiona na kuthibisha kuwa ni haki kwao.
Hizi nadharia za kuingia conflict ni nidhamu za kiuoga na ndio mara nyingi zinafanya mtu kukosa haki yako. Waache wapambanie haki yao mkuu
All is well All is well All is well.. eeh Mungu tuma malika wako Watupiganie leo hapo mjini Pretoria sisi Yanga tushinde maana si kwa kikosi hiki chenye mashaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.