.
Kocha Mkuu wa klabu ya As Vita Club Florent Ibange amesema kuwa hakuwahi kutegemea kuona katika kundi lao ambalo walipangwa kundi D kama klabu ya Simba ingepita na kutinga hatua ya robo fainali kwani yeye kama kocha wa As Vita Club katika kundi hilo alitegemea kuona timu yake ikipata upinzani...
TAHADHARI NA WITO KWA WANA SIMBA WOTE:
Kumekuwa na wimbi linaloendelea sasa mitandaoni la kutoa mambo yanayofanya taharuki au kuleta mijadala milngoni mwetu.
Hasa taarifa hizi:
1. Kocha msaidizi fulani
2. Wachezaji hawa wanaachwa
3. Manara kafukuzwa
4. Rufaa kwa mchezaji flani
5. Kocha hafai...
Enzi ya Mwalimu kulikuwa na majengo kumbi maarufu jijini dar... Tukianzia pale Morogoro road na Msimbazi kulikuwa na kumbi maarufu ya wazee waliopigana vita na mkoroni jina la ukumbi ulikuwa unaitwa Tanzania Legion..
Ukitoka hapo mbele yake kidogo kama unalekea Akiba hiyo hiyo Morogoro road...
Kila mchezaji wa Simba atakayepata nafasi ya kucheza mechi hiyo, anapaswa kuhakikisha hafanyi makosa ya utovu wa nidhamu hasa kucheza rafu zinazoweza kuwapatia wapinzani faulo zitakazotumiwa na wenyeji kufunga mabao.
UNAAMBIWA hata kabla msafara wa Simba haujaondoka mapema asubuhi ya jana...
Jeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.
Wanajeshi wenye vifaru na magari ya kivita wanashika doria katika barabara za mji mkuu Libreville.
Amri ya kutotoka nje imetangazwa.
Tangazo kutoka kwa kundi la vijana wa umri wa...
Kama wewe ukiwa mtoto wa kiumeni
Asubuhi: unywe chai na maandazi mawili
Mchana: ule chips...
Usiku: unakula tambi na kulalia hizo hizo tambi, ukiulizwa madai unafanya diet
Sasa kwa hali hii si ni hatari sana kwa afya ya nyumbani kwako hata shemeji ukimfumania utaweza kuanzisha varangati...
Jamani hivi Tanga Kunani? Toka Nimekua na Kubalaa nasikia tu kuwa ukipata Mwanamke wa Kitanga Unasuki na wengine wanasema eti Mwanaume Ukienda Tanga Hauwezi rudi Siku hiyo hiyo lazima ulale ...Najiuliza Hivi Mabinti wa Kitanga wana nini ? Huku Mtaani kwetu wanagombaniwa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.