Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,712
TAHADHARI NA WITO KWA WANA SIMBA WOTE:
Kumekuwa na wimbi linaloendelea sasa mitandaoni la kutoa mambo yanayofanya taharuki au kuleta mijadala milngoni mwetu.
Hasa taarifa hizi:
1. Kocha msaidizi fulani
2. Wachezaji hawa wanaachwa
3. Manara kafukuzwa
4. Rufaa kwa mchezaji flani
5. Kocha hafai nk nk.
Lengo kuu za taarifa hizi ni kupenyeza mpasuko kati yetu na kuleta mingongano ili tusiwe wamoja katika wakati huu mgumu sana kwetu tuna mechi 3 kubwa sana kipindi hiki cha week 2 toka sasa nazo ni Al Ahly, Yanga na Azam.
Wito wangu tupuuze na tusipost chochote za uzushi kuhusu hayo mambo kwenye group zetu wakati wake utafika na kila kitu kitajulikana sio sasa.
Mawazo na akili zetu zote tuweke kwenye USHINDI Bila Umoja hatuwezi kuweka historia vizuri.
Hakuna Haja ya kutoana maneno wala kejeli miongoni mwetu maana hazitatunufaisha kipindi kipindi hiki zaidi ya kupata matokeo.
TUWE PAMOJA TUHUZUNIKE PAMOJA TUFURAHIE PAMOJA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na wimbi linaloendelea sasa mitandaoni la kutoa mambo yanayofanya taharuki au kuleta mijadala milngoni mwetu.
Hasa taarifa hizi:
1. Kocha msaidizi fulani
2. Wachezaji hawa wanaachwa
3. Manara kafukuzwa
4. Rufaa kwa mchezaji flani
5. Kocha hafai nk nk.
Lengo kuu za taarifa hizi ni kupenyeza mpasuko kati yetu na kuleta mingongano ili tusiwe wamoja katika wakati huu mgumu sana kwetu tuna mechi 3 kubwa sana kipindi hiki cha week 2 toka sasa nazo ni Al Ahly, Yanga na Azam.
Wito wangu tupuuze na tusipost chochote za uzushi kuhusu hayo mambo kwenye group zetu wakati wake utafika na kila kitu kitajulikana sio sasa.
Mawazo na akili zetu zote tuweke kwenye USHINDI Bila Umoja hatuwezi kuweka historia vizuri.
Hakuna Haja ya kutoana maneno wala kejeli miongoni mwetu maana hazitatunufaisha kipindi kipindi hiki zaidi ya kupata matokeo.
TUWE PAMOJA TUHUZUNIKE PAMOJA TUFURAHIE PAMOJA
Sent using Jamii Forums mobile app