Wapendwa salaam alyk, tumsifu Yesu Kristo wana JF,
Kuanzia jana siko vizuri nimehangaika nimekosa nimetafuta bado sijapata wapendwa ninashida ya kusaidiwa hela ya unga tuu.
Please nisaidieni wana JF mwenzenu nakufa njaa.
pole mkuu na zile kash kash za nyapara kule gerezani usiku maana umenona.....endelea kupambana ili wakurudishe maana kale kamchezo umekazoea ....siku sio nyingi akili zitasoma sawa
sitasahau nipo chumba cha labour usiku nilikuwa zamu mrembo mmoja uchungu ukamshika mweee muoga kama nini kapush weee mpaka namuonea huruma haswa pale alipoanza kulia na kutaja idadi ya wanaume aliokula nao ujana mwisho nilishangaa alivyoniomba karatasi asaini kuwa hata beba tena mimba lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.