Kama mlishindwa kumzuia Lissu akiwa dodoma kwa kutumia gari yenu ile Nissan Patrol tena haitoshi mkamimina risasi za kuzidi kusudi muitoe Roho yake.
Hamtoweza tena kumzuia kwa namna yoyote ile. Mwacheni aongee ni Haki yake kusema Ukweli ili awe Huru
Sent from my SM-J530F using Tapatalk
Huyo mama ni kama ana Scandal's ambazo amezifanya hapo Nyuma. Hayo ambayo umeyaona mbele ya screen ni kujisafisha tu.
Karatasi nyeupe ikitiwa dowa inakua si nyeupe tena inakua ni karatasi nyeupe yenye dowa
Sent from my SM-J530F using Tapatalk
Sawa nadhani endelea kutoa mijadala/ nyuzi zenye kuhitaji wachangiaji Wengi zaidi hiyo itakupa motives za kuupata ukweli sababu Jf ni Community kubwa sana na inahitaji kulindwa sana.
Mijadala mingi ya humu jukwaani uwa inafuatiliwa sana na viongozi wa Kada Mbali mbali nchini. Hivyo ni vyema...
Kwaiyo kwasababu nyie mabaharia mnasumbuliwa na wanajeshi(sijui kwanini) basi na sisi tulipe kodi?
We pambana tu na hali yako mkuu
Sent from my SM-J530F using Tapatalk
Tra iko bize 24/7 kukusanya kodi za Walala hoi. Kuiongezea majukumu Mengine ya uitishaji Vikao kusudi kutoa Elimu ingali kila kitu raia wanakijua ni kukosea.
Sent from my SM-J530F using Tapatalk
Ha ha ha! Mh. Lissu anaangaisha vichwa vya Watawa sana yaani 24/7 wanafatilia lissu leo yuko wapi? Anafanya Nini?
Ni vizuri kama Lissu ilo kaligundua Pia kwaiyo vikao vingine vinakua Confidential.
Sio vizuri Watawa mjue kila anachofanya Kamanda wetu, mtetezi wetu.
Sent from my SM-J530F using...
Wa huko Panama sishangai kama wakimsifu Jiwe.
Kikombe kinaweza kuwa kuchafu nje na ndani kisafi na kikafaa kunywea Maji. Kikombe kinaweza kikawa kisafi nje na ndani kichafu na kisifae.
Sent from my SM-J530F using Tapatalk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.