alipenya chadema paka kuwa mwenyekiti wa cdm imtu,leo baada ya uchaguzi aweka wazi yy ni ccm na kiongoz mkubwa wa ccm aondoka nae kwenye gari.nashauri wanacdm sasa kunamkumbo mkubwa kwenye chama chetu so tuwe makini kwa mageuzi ya kweli,nawasilisha
slaa kasutwa na jamaa wa newala anaitwa juma kwa swali moja tu je hauoni zuri lolote??? akajibu yapo ila muda wakipindi mchache na elimu imetengewa fedha na nimfano mnzuri
JUMA alimuuliza swali inamaana kila kitu wewe wakosoa tu hakuna kizuri? KATIKA BAJETI AU SERIKALI????,dk akajing'ata NG'ATA hoo oooh oo muda wakipindi nimchache cjuhi nisaa moja tu haitoshi kusifia natoa mapungufu ili kuisaidia serikali na kitabu kimoja chamazuri ya matumizi ya fedha za serikali...
soma barua ambayo zito amejibiwa na bunge,kushindikana kwakile alichokitaka cha kubadilisha akaunti no yake toka ile yabinafs kuingiziwa posho na kuomba ile ya taasisi yake ya kigoma.zito unaanza kufulia mipango yako ya kujitaftia umaarufu kuwa nayo makini
du poleni cdm inauma na inakera kweli na mpaka 2015 hop mikoa yote watakuwa tayar wamehamia ccm.wakati nipo cdm niliwashaur pale wakina slaa waboreshe makazi ya viongoz wa wilaya na mikoa kujenga chama, nikajibiwa cc tutazunguka mikoan kujenga chama wao wajitolee tu,ok am hoping wanaendelea...
NIMEFURAHISHWA sana na makala ya generali ulimwengu ktk gazeti la raia tar 9-14 juni.paragraph ya pili toka mwisho.
" SLAA AKAE CHONJO,APUNGUZE HISIA ,AWE M-RAIS[ANEUOTA URAIS]. AJIFUNZE ZAIDI,KAMA BADO ANANIA YA KUWANIA URAIS MWAKA 2015,KAZI ILIYOMBELE YAKE NI KUBWA.AKUMBUKE TU KWAMBA ,RAIS...
mjadala unaoendelea sahv itv kasema kunamambo mengi ya kusema kwautajili wa nchi yetu na si vposho vdogo wakati matrilion mapesa yanapotea kwawawekezaji
kwahiyo mm na zito akili zetu sawa zeni tofautisheni lugha ya chating kwenye cm au jf mladi mtu aelewe lakini si sawa na lugha ambayo eti msomi anaandika kwa bunge.cdm tukimsimamisha zito tumeumia.kwenye chating naweza kuandika................luga badala ya lugha na atavziwi mkaelewa
SOMA BARUA YAKE ALIYOANDIKA KUSEMA POSHO ZAKE ZIREKEBISHWE AKAUNTI NA ZIPELEKWE KIGOMA. ETI KIGOMA KATIKA MAENDEKE YAKE CJUI ALIMAANISHA MAENDELEO YAKE AU VIPI? JITAHDDDDDDD KUWA MAKIKI KAKA,UNAONYESHA ATA MAANDISHI YA MKONO YANATIA SHAKA JUU YA USOMI WAKO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.