Inaelekea hata haujui ni kwa nini wabunge wa ccm wanapinga rasimu ya Warioba kwa sasa hivi. Sina muda wa kukuelewesha kwa kina. Kwa kifupi katiba ya sasa inanufaisha chama tawala, chama tawala wanakuwa wafalme na wapinzani wanakuwa wapo jehanum. Ccm wakiwa chama cha upinzani hawataikubali katiba...
Unafikiria karibu mno. Lowasa akishinda hatakuwa na nguvu bungeni. Wabunge wengi including ccm watampinga Lowasa na wabunge wa ukawa wataungana na wa ccm kudai katiba. Katiba inapatikana ndani ya miaka miwili.
Shida yetu ni katiba ya wananchi, Lowasa anatumika kipindi hiki cha mpito.
Tunahitaji katiba zaidi ya tunavyomuhitaji magufuli.
UKAWA pekee ndio watakaopitisha katiba ya wananchi(rasimu ya Warioba)
tatizo ni kwamba waislam walioenda shule wanapotosha waislam ambao wanatafuta elimu. kama una muda fuatilia hii series ya mahubiri.
https://www.youtube.com/watch?v=3Jz7UIr_qxY&list=WL&index=6
baadhi ya wanawake ni watafiti wazuri sana. Wametumia ndimu/limao kukata shombo ya samaki, mwishowe wakaamua kutumia ndimu /limao kukata shombo ya kuleee..........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.