Wadau zoezi lilitakiwa lianze february 16 jumatatu ijayo na sio february 19 hapo imekaaje? Lakini leo kuna kikao cha m/kiti wa tume na viongozi gani? Naomba kujua hilo lakini pia sababu za kuhairisha na zoezi litakapoanza litachukua siku ngazi kuandikisha wapiga kura.
Wadau habari zenu. Naomba mnipe procedures za kuingiza channel za africa magharibi na drc congo kwa yetote anayefahamu. Channel za kawaida azam hakuna hata moja inayoonyesha afcon kwa sasa. Msaada plz wadau. Zile channel mara ya kwanza ulitolewa muongozo hapa namna ya kuingiza lakini azam...
hv wadau ebu nielekezen, kwanza chet cha digrii huwa kinaonyesha matokeo coz ninachojua mimi transcript ndo inaonyesha matokeo yako. plz naomba mnielekeze wadau
wadau kwa wenye tangazo la kujiunga na jeshi la magereza kwa elimu ya chuo kikuu it means professional ebu atupie nilisome. naomba plz wadau tusaidiane kwa hilo
Jaman wana JF naomben full information kuhusu ajira mpya za kiujiunga na jeshi la polisi mwaka huu kwa sababu ukiingia kwenye mtandao wa jeshi la polis kuna tangazo lao lilelile linalowahusu kidato cha sita waliomaliza mwaka huu tu lakin leo kuna mtu nilikuwa nachat nae kwenye FB ni askari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.