Nilikua ofisi ya kata kwa Afisa maendeleo jamii kupata huo utaratibu changamoto zipo pande mbili mimi navyofikiria
1. Upande wa Halmashauri hautoi elimu ya kutosha juu ya hii mikopo
2.Sisi vijana pia hatupo tayali.katika kujiajiri ndo mana ulikutana Na majibu tofauti tofauti
3.Lingine hili jambo...
Habari wakuu naomba kupata taarifa ya bidhaa hii katika ardhi yetu ya Tanzania
Kwa maana ya mkoa husika Na wilaya lakini pia itapendeza zaidi ikipatika video au picha ya bidhaa hii
Ahsante
Mbagala machinjio yapo pale Sabasaba kwa mpili kama unatokea zakiem ni upnde wa wa kulia Na kama unatokea mtongani ni upande wa kushoto njia ya kuelkea Mbagala kuu ukiulizia machinjio utaelekezwa
Kuhusu muda Mara nyingi huwa ni kuanzia saa 9 usiku mpaka 11 alfajiri
Ngoja nitakupa Namba ya mtu atayeweza kukusaidia kufanikisha hilo jambo kwa sababu yeye ana wasiliano ya karibu na mkulima
Kutokea kisiwani Mafia na pia anafanya hiyo biashara atakupa maelezo vizuri.
Mimi nilifanya lakini sikuwa field so sitaki nikupe taarifa fake
Yan unanishkaje makalio hapo mashine lazima ilegee Na sabb kwa upande Wang nahisi unanifananisha km Na wale waliotolewa washell halafu makalio anashkwa mwanamke Na kuyapiga piga ili utam ukolee
Kaka mkubwa pole kwa mtihani ila jambo la muhimu kufanya ni hivi
Achana kabisa Na huyo mwanamke atakuja kukuletea shida kubwa siku za usoni
Utakuja kujialaumu kama utafatisha mawazo yake mgando aliyoweka kichwani kwake
Pia kumbuka hakuna siri ambayo utaficha au mtaficha kati yenu mana mungu...
Mkuu huyo ni mkeo kweli au demu wa kusuuza rungu?
Anyway ushauri ni hivi ulifanya kosa kubwa kumpa nafasi hyo mwanamke mpka anakuchukulia kiboya hvyo muhmu piga chini tafuta ela
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.