Wakuu heshima yenu. Naomba mwenye muongozo wa katibu mkuu juu ya watumishi wa umma wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa mf. Ubunge tafadhali. Natanguliza shukrani.
hivi mi nashangaa sana watu wanavyomtupia lawama kamumba. Baba akunyanyase na asikujali wala kujishughulisha na wewe toka utoto, leo umekua na mafanikio ndio anajitia eti ni mzazi wako! Uzaza ni zaidi ya kumwaga mbegu na kutungishaa mimba jamani. Kanumba alikua na haki ya kueleza hisia zake...
thubutuuuu! Yaani mtu anipige kisa nimemuuliza yuko wapi? Hee...I reserve my comments for now na pole zake huyo mwanamke ulienae coz amepata tatizo sio mume.
thread za kike zikoje na za kiume zikoje? I hate mwanaume anaedharau wanawake. Bila uwepo wa u-kike wewe ungekuwepo vipi duniani? Watu wengine mnakera sana...tpuuu
Hellow wana jf.
Nimekua mhudhuriaji wa jukwaa hili kwa muda mrefu kabla ya kuamua kujiunga. Na hata baada ya kujiunga miezi michache ilopita, sikuwa nimejitambulisha. Nipokeeni niwe mmoja wenu coz jf ina mengi ya kujifunza na kujiburudisha pia.
Ama kweli imenenwa KUNYA ANYE KUKU, AKINYA BATA KAHARISHA'
Kwahiyo we hapo umeona mwanamke ndio hana akili wewe unazo sio eeh? Wewe na huyo binti wote malaya tu coz mmeonana kwa mara ya 1 na wote mkavuliana chupi /boxer. Mwanaume wa kweli hajisifii ujinga wewe. Umekaa unaandika huo upupu wako...
[Reaserch yako ina data za uongo, data kamili ni kama ifuatavyo.<br />
Wanaume asilimia 100 wanatamani kutoka nje yandoa na asilimia 50 wanatoka nje ya ndoa.<br />
Wanawake asilimia 99.9 wanatamani kuolewa<br />
Wanawake asilimia 100 wanatamani kutoka kutoka nje ya ndoa na asilimia 98...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.