Kwanza haiitwi AC inaitwa IC, kutokana na uzoefu inawezekana mkubwa kukawa na hitafu ktk components nyinginezo Kama capacitor, resistor au diode ambazo zipo kwenye power section sema fundi kaamua kukwambia IC ili akupige zaidi au hajui hitilafu ilipo,vyovyote iwavyo inarekebishika na wala sio...
Maisha bwana yana siri ndefu, unaamka asubuhi ujui utakula nini, inafika jioni unajikuta umekula japo hauna kitu mfukoni.Kikubwa pumzi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.