By 2015, Zitto atakuwa ana miaka 39, pungufu ya kile kinachotakiwa kugombea uraisi kwa katiba ya sasa.
Hili, bado halijaacha wanafiki na magamba ya CCM hapa JF, kuendeleza pumba zao za kutaka CHADEMA wamsimamishe Zitto mwaka 2015.
Ushauri wangu kwao ni huu,
Kama mnampenda Zitto kihivyo...
Sijaliona hili kwenye news.
Pasco wa JF yuko wapi when u needed him?
Pasco uko wapi ushike bango kama ulilomshikia Dr. Slaa last time?
Vipi umepanda kwenye kaburi (na jeneza) ukitafuta wana ccm kwenye mazishi?
Just wondering
Naomba nilete angle tofauti ambayo sijaona imeongelea hapa kuhusu ukatili wa polisi dhidi ya wanachadema Tanzania.
Habari ninazosikia ni kwamba, mheshimiwa raisi wa Tanzania Dr Dr Dr Dr Kikwete, ameamua kusimamisha kasi ya mageuzi inayoendelea nchini kwa kutumia vyombo vya usalama.
Kama...
Ukiangalia Hali ya nchi ilipo - bei ghali za vitu na Hali ngumu ya maisha.
Na ukisoma habari kuwa serikali ya JK imetumia mabilioni kununua jengo huko NY,
Basi, utagundua kuwa JK ameamua kutimiza mpango wa serikali ya CCM wa kuhakikisha kuwa watanzania wanakula nyasi.
I am just saying
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.