Kama mwanamke uanaamua kuingia kwenye uanaharakati jua pia ndoa yako lazima iwe ngumu kwako.maana kuna vielement vya kuota mapembe hivi.wanasahau values za asili za mwanamke wa kitanzania .
Sijui kama mtazamo wangu ni sahihi.wengi wa wanaharakati wa kutetea haki za wanawake ni single mamas...
Mimi sina uhakika .kama angekuwa analipa mwenyewe Raisi ingewezekana.maana watendaji wake wanaishiaga kwenye michako michakato na siyo kulipa.mpaka Raisi aingilie kati tena.napendekeza Rais angekuwa na kama ka application hivi ka kumalati kujua status ya utekelezaji agizo lake
Kwa mfano...
Sifa zako ulizotaja ni basic sana.so taja zingine kama unazo kumfanya mtu wa aina unayemtaka ajisumbue kukutafuta.
Otherwise sifa zako ni za kwaida sana wako wengi wenye sifa kama hizo.
Lakini pia hongera kwa kujaribu kujipambanua vizuri.
Kwani kosa la muwekezaji wa mlimani city ni lipi hasa?ni mtaji mdogo au halipi gawio kama walivyokubaliana?
Hilo la mtaji mdogo tupa kule! Sababu mtaji unapatikana sokoni,so ukiwa na biashara nzuri unauziwa mtaji kwa mkopo.
Hao wasomi wa UDSM.Ni wasomi wa zamani sana ni maprofesa walio soma...
Mbona huelezi vizuri.huyo baba mwenye nyumba ndiyo aliyevuruga ndoa nyenu.maana unaonekana tayari ulishakuwa nyumba ndogo yake.Halafu akaamua akakusogeza karibu hapo kwake.kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe.
Mara huwezi kuwa na baba mwenye nyumba kwa sababu tayari una mpaga bosi wako.
Kama ni kweli yeye amesema hayo basi uwezo wake wa kufikiri umepungua kwa kiasi kikubwa sana.
Huwezi sema umehama upinzani kwa sababu unalizishwa na utendaji harafu hapo hapo unakunya mavi sebuleni.subiri aone utakachofanywa
S nii utaratibu wa huko uliko kupeleka hoja zako kwa wahusika kwa...
Siyo mkosi mkuu wangu hiyo ni bahati
nzuri Mungu amekuepusha na kifo.
Kati ya hao ulio watongoza kuna waliokuwa na mkosi wa kwamba kila mwanaume anaye fanya naye mapenzi anakufa.
Uko sahihi
Kwa mtu asiye jua mambo ya medical anaweza kuwashangilia hawa watu.watoe pia idadi ya wagonjwa waliowapokea na walio wapa rufaa kwenda hospitli zingine.
Hivi huyu jamaa si ni Mkongomani?
Kama jibu ndiyo, maana yake ni issue ya kuimarisha mambo ya kidiplomasia kati ya bongo na Kongo.hasa biashara zetu za bandari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.