Search results

  1. K

    Bw.Polepole kulazimisha KURA zote zilizopigwa ni za CCM ndio "SAYANSI"?

    Hakika nimeshangazwa sana na Katibu Wa Uenezi Wa CCM Bw.Polepole eti CCM imeshinda Kwa Sayansi wakati kila binadamu anajua kilichofanywa na CCM kuutafuta ushindi hata Kwa vurugu, utekaji kukamatwa wapinzani, uongo Wa viongozi n.k.Nani hajui kuwa baadhi ya mawakala Wa vyama vya upinzani...
  2. K

    Gambo cheo ni dhamana, Lowassa ni sawa na mzazi wako, kwanini umsemee uongo?

    Nimesikitishwa sana Kwa Mkuu Wa mkoa Wa Arusha Bw.Mrisho GAMBO bila aibu huku akijua ni Uongo akiwahutubia wananchi Wa Arusha kuwa Eti Mh.Edward Lowassa kamtuma amwombee Kwa Mh.Rais ili amwombe kurudi CCM.Mh.Edward Lowassa amekanusha vikali taarifa hiyo ya Mrisho GAMBO.Namwomba Bw.Gambo...
  3. K

    Kada Kafulila ungekuwa mbunge wa Chadema ungejiuzulu Kwa ajenda ya UFISADI?

    Nataka Kada Wa CCM Bw.Kafulila je angekuwa Mbunge Wa Chadema angeweza KUJIUZULU ubunge Kwa AJENDA ya UFISADI kutokupiganiwa na Chadema?
  4. K

    Je Takukuru bado wanachunguza CD za Mh.Nassary?

    WADAU vipi matokeo ya uchunguzi Wa CD za Nassary bado PCCB wanachunguza?
  5. K

    Vyama vya siasa kwanini hamfungui kesi ya kikatiba juu ya zuio la mikutano?

    Hakika napata wasiwasi na vyama vya Siasa vya Tanzania.Wasiwasi wangu ni ukimya Wa vyama hivyo juu ya MARUFUKU ya kufanya MIKUTANO ya Hadhara. Japo sio mwanasheria lakini Nina uhakika vyama vya Siasa vipo KIKATIBA na shughuli zake zimeainishwa Kwa mujibu Wa Katiba ikiwa ni pamoja na Kufanya...
  6. K

    Nani alimuua Feed Rwegima muasisi wa RPF -Rwanda?

    WADAU Kwa anayejua nini nani alihusika na KIFO CHA MUASISI Wa RPF Rwanda Bw. Fred RWEGIMA?
  7. K

    Kwanini CCM inaogopa vyama vya Siasa kufanya mikutano ya hadhara?

    Watanzania nilitegemea Chama Tawala, Chama kikongwe ktk Afrika CCM kingekuwa cha kwanza KUPINGA Serikali kuzuia Vyama vya Siasa kufanya mikutano ya hadhara.Badala yake CCM ndio Wa kwanza kushangilia na kupongeza uamuzi huo. Namkumbuka Mwenyekiti Mstaafu Wa CCM Mh.Jakaya Kikwete wakati anaachia...
  8. K

    Tujadili faida na hasara ya kulipa kodi ya nyumba kwa kila mwezi na kwa miezi 6 au mwaka

    WADAU naomba tujaribu kujikita kwenye mada tajwa hapo juu kwani nimemsikia Waziri Wa Ardhi Mh. Lukuvi sikuamini Bunge kuwa Wizara yake inatunga Sheria ya kuwataka wenye nyumba wachukue kodi ya kila mwezi badala ya miezi 6 au mwaka. Rejea: Serikali kukataza wenye nyumba kukusanya kodi ya miezi...
  9. K

    Uongozi wa klabu ya Simba SC jitahadhalini, Ajibu wa Yanga anawarubuni wachezaji wa Simba

    UONGOZI wa Klabu ya Simba mnapaswa kuwa makini na WACHEZAJI wenu kwani Klabu ya Yanga ina mtumia Mchezaji wake Ibrahimu Ajibu kuwarubuni WACHEZAJI wenu wajiunge na Yanga.
  10. K

    Wabeba samaki Feri ni kero kubwa mabasi ya mwendokasi

    Hakika uongozi wa mabasi ya mwendokasi wanatakiwa waangalie utaratibu mzuri wa kipakia abiria hasa wabeba samaki kituo cha Kivukoni.Wabeba samaki wamekuwa chanzo cha foleni ukataji tiketi kwani hawataki kufuata foleni iliopo. Wabeba samaki wamekuwa wanatumia nguvu kubwa kuingia kwenye mabasi...
  11. K

    Yanga SC imekula kwenu mbona goli la mkono la amisi tambwe mlikaa kimya?

    Yanga mmeumia sana na Ushindi Wa Simba DHIDI ya Mbeya city.Mbona Goli la mkono la AMISI TAMBWE macho ya Simba vs Yanga hamkupiga KELELE? Kateni RUFAA basi. Kubalini Matokeo Simba 1 Mbeya City 0
  12. K

    Jamani nina tatizo la mishipa anayemjua daktari bingwa

    Wadau nina sumbuliwa na mishipa naomba mnijulishe Daktari Bingwa nimweleze tatizo langu.
  13. K

    Kama serikali imewabaini waliogushi umri kuna ugumu gani kuboresha mishahara kwa waliosafi?

    Hakika nashindwa kuelewa hizi danadana za Serikali juu ya kuboresha mishahara Kwa Watumishi zitachukua muda gani.Waziri Wa Utumishi Mh.Mkuchika alisema tayari Serikali IMEWABAINI watumishi 40,000 WALIOGUSHI UMRI. Kama tayari IMEWABAINI Kwa nini usifanye Maboresho Kwa Watumishi waliobaki...
  14. K

    Waziri Mkuchika pambana kuboresha maslahi ya watumishi sio kuwalaumu

    Jana baada ya kuwaapisha MAWAZIRI, Waziri Wa Utumishi Mh.George Mkuchika alianza Kwa kuwalaumu Watumishi kuwa hawawajibiki ipasavyo. Inawezekana ni sawa lakini Waziri alipaswa kujiuliza kwanini hawawajibiki. Zipo sababu nyingi moja wapo ni kupoteza morali kutokana na Serikali ya Awamu ya 5...
  15. K

    Ganzi mguu na mkono mara kwa mara tatizo na tiba yake

    Madaktari mwaka 2016 nilifanyiwa upasuaji Wa uvimbe chini ya kitovu wakati wa upasuaji nilichomwa sindano ya ganzi kwenye uti Wa mgongo mwaka 2017 nikaanza kujisikia kama kuna kitu kinanitembea toka mguuni mpaka mkononi na ni kwa sekunde 1 kinaacha. Je tatizo ni nini? Je ni ugonjwa gani? Tiba...
  16. K

    Serikali ihakiki digrii zote kwani zipo za kidato cha nne + cheti

    Nadhani wakati umefika kwa Serikali kuhakiki digrii zote za watumishi wake ili kujiridhisha iwapo waliingia vyuo vikuu kwa sifa stahili. Kuna kundi kubwa la watumishi wana digrii walizozipata kwa njia isiyo sahihi.Wapo walioingia kwa sifa ifuatayo: 1.Wapo ambao wamemaliza kidato cha 4...
  17. K

    Vyama vya wafanyakazi mbona mko kimya Sakata la nyongeza ya Mishahara?

    Hakika watumishi tunasikitishwa sana na Ukimya Wa Vyama vya Wafanyakazi juu ya tangazo la Mh.Rais kuwa hataongeza Mishahara Kwa Watumishi.Watumishi tuliamini Viongozi Wa Vyama vya Wafanyakazi wangekuwa Wa kwanza kushtushwa na kauli hiyo lakini mpaka Leo hawajatoa Tamko na hatua watakazochukua.
  18. K

    Waziri wa utumishi mbona Wakurugenzi wa Halmashauri wanakataa kuwapandisha madaraja watumishi licha ya agizo lako?

    Nina omba Waziri mwenye dhamana na Utumishi atoe AGIZO Kwa Wakurugenzi wote Wa Hamashauri kutii maelekezo yake juu ya Upandishaji MADARAJA Kwa Watumishi na kuwarekebishia mishahara yao.Kuna baadhi ya Wakurugenzi wamekuwa wanawakatalia watumishi ambao walipandishwa MADARAJA lakini walikuwa...
  19. K

    Kuhusu nyongeza ya mishahara "wafanyakazi tuvibane vyama vya wafanyakazi vikutane na serikali"

    Watumishi wa umma wakati umefika wa kuvibana vyama vya wafanyakazi kukutana na Serikali kuzungumzia maslahi ya watumishi. Nakumbuka Mei mosi 2016 mkoani Kilimanjaro Mh.Rais alikubali ombi la vyama vya wafanyakazi kuboreshewa mishahara na maslahi yao. Nilitegemea viongozi wa vyama vya...
  20. K

    Waziri wa utumishi, ni lini Serikali itaanza kuwapandisha madaraja watumishi?

    Wadau tuliambiwa zoezi la kubaini watumishi hewa na wenye vyeti feki limekamilika.Tulitarajia zoezi la Kupandishwa MADARAJA Kwa Watumishi lingeanza lakini mpaka Leo bado halijaanza. Tunamwomba Waziri Wa Utumishi atuambie ni lini Serikali itaruhusu.
Back
Top Bottom