Nimekua nikifuatilia sana majukumu ya watendaji wa kata na mtaa hasa wa mtaa wana changamoto kubwa sana hasa waliopo Dar es salaam.
Sikatai kuna wengine hawana maadili lakini wengi wanakumbana na changamoto sana hasa kwenye kazi zao.
Leo nitazungumza kuhusu mauziano ya ardhi hapa Kuna ulazima...
Baada ya Jana kuweka tangazo Nina tafuta kazi, Jana usiku Saa moja nimepigiwa Simu toka williwos international nikiambiwa nafasi za kazi hakuna ila volunteer zipo na nimembiwa niende arusha ndiko ziliko headquarters zao anaefahamu kuhusu shirika hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta kazi yeyote nina elimu ya diploma maendeleo ya jamii kwa yeyote aliye tayari tuwasiliane,niko tayaribniangaliwe uwezo wangu ndipo nifanye kazi ndipo tukubaliene kazi aliye tayri namba zangu ni 0767960684, bonmaknza@gmail.com,
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.