AAAAA Pinda tena mbona anasifa kuu tatu za mnafki
1.Akiongea anaongea uongo (Alilidanganya Bunge na Wananch kuhusu Mauaji ya Arusha)
2.Akiaminiwa lazima afanye hiyana (Uteuzi wake ulifananishwa na Uteuzi wa Sokoine Akatusaliti kwa kuutetea ufisadi)
3.Akitoa ahadi ni muhali kuitimiza (aliahidi...
kikwete asicheze na afya zetu ameshatuchezea sana na suala la umeme katika hili hatukubali kamwe waalimu amewazungusha hajawalipa richmond kawalipa huu si ujinga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.