Me nafikiri hawa ccm hawajajua maana halic ya hii neno, nashangaa na hii mahakama kwa kutoa agizo eti mh mbowe akamatwe wkt alishatoa taarifa juu ya suala lake, najua wanapata shinikizo kutoka kwa viongozi wa juu wa ccm, sasa nafikiri ni mda wao hao wanaotoa maagizo hayo kujua nini maana ya...
Hv haya ma ccm yanakuaje jamani? Utakuta kuna shughuli za kiserikali zinafanyika labda uzinduzi wa madarasa nk, pale mambo ya kichama yanakua hayapo tena, ila utayakuta yamevaa me tisht ya kijani na mikofia yao, me nafikiri ushabiki wa kipumbavu tuachane nao.
Kwa kweli me hawa ccm hata cwaelewi cause kila wanapofanya mikutano yao lazima waombee watu kuja kuhudhuria mikutano yao, juzi kati hapa alikuja mwenyekiti wa maghambani kwenye uzinduzi wa barabara itnkayo geita hadi mwanza kupitia kivuko cha busisi, aisee watu wa mwanza mjini hawakutokea jamaa...
Haya mambo ya kikabila ndio huwa cyapendi, rais atokee sehemu yoyote ila awe wa Cdm, hata kama GADaff yeye awee tuu, alafu kama umechoka kutuletea mada za akili nenda ukakojoe vidagaa ulale.
Kwa wale waislam kwanza mtaniwia radhi pls, kuna kpnd nilifika arusha jamaa yangu mmoja ambae kwa sasa nilipoteza mawasiliano yake, jamaa alinipeleka ktk hotel moja nikapiga kit moto rost yenye mbogamboga ndani na ndizi rost, aisee never ever seen b4 ile kiti moto ilikuwa bab kubwa, jamani wale...
Mwingine ni mwl sportman, alikua akiingia darasa ananuka sigara mpk kero, akifundisha kidogo anatoka nje anaenda kuvuta kwanza fegi, ahaa pale pale akapewa jina alikua yuko vizuri kwenye mathematics.
Parachichi, huyu mwalimu wangu wa biology f2, alikua anapenda kuita watu wa maparachichi pale pale akabatizwa, cku alipogundua anaitwa hivyo aisee alitembeza bakora drs zima, ila jina halikuisha.
Wewee! Unataka nyumba kutoka kwa mzee wa kaya? Basi kama una dada ako mzuri amejaa sawa sawa hakika utapata nyumba alafu awe mweupe kidogo kama v....k, nawakilisha.
Nina rafki yangu wa kike nampenda sana ila yeye kanipita miaka 2 ana miaka 28 sasa hv, kila cku huwa ananiuliza nitamuoa lini? Me najaribu kumpa sound cause ya umri wake, isingekua umri ungekuta nishamuoa, nataka kumtambulisha home ila najishtukia kuhusu age yake hiyo
Sie wengine bado 2po 2po kwanza, we can tell you nothing, alafu kuoa cku hizi ni kipaji eeh! Au kama vp nitafute twende zetu ktk viti virefu vya counter then kukaidhabu hiyo hela ulinayo mpk sasa, alafu ujue kama huna gx 100, kama wee c wakili, na kama huna mjengo, bac imekula pande yako chalii...
Hi! Mamboz..." naishi ktk nyumba ya kupanga, kuna jirani yangu anaishi na mke wake chumba kinachofuata, kosa ni cku wanapofanya mapenzi yani majirani wote hata usingizi hatupati ni kilio cha utamu kutoka kwa mwanamke na miguno na kidume chake, mwanamke analia kama kapigwa kumbe yupo kwenye...
Hi! jf members hope mpo pouwaaa! Mimi na mdogo wangu jamani hawezi kula chakula chochote bila kunywa soda, yani i mean kila anapomaliza kula chakula lazima anywe na soda, kwa cku anaweza kunywa hata soda tatu, yani haiwezekani ipite cku hajanywa soda, jamani wakuu mnishauri nahic kama anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.