Search results

  1. sonzawileme

    Msaada kwa Mwenye Connection ya Kazi Dar es Salaam

    Name: Hamza Issa Omary Proffesion: Driver/ Teacher Education level: Bachelor Of Arts and Education since 2015 Subject: History and Swahili Language: English and Swahili fluently Location: Dar es Salaam Category in Driving: Certificate of Driving Class D, C1, C2 And C3 also E Experience: 3 years...
  2. sonzawileme

    Ninabiashara ya duka la chakula ninahitaji mkopo kutoka Bank

    Ninabiashara ya duka la chakula nilihitaji MKOPO KUTOKA BANK ni ipi Branch nawezafanikiwa mkopo ikizingatia Vigezo hivi nilivyo navyo-: -TIN NUMBER -LESENI YA BIASHARA -HATI YA KIWANJA -NYUMBA -BIASHARA YENYEWE Nb; Location nipo Dar if any nisaidie mawasiliano WhatsApp 0769946412
  3. sonzawileme

    Baada ya kukosa ajira naomba ushauri au msaada

    Mimi Nilihitimu Chuo 2015 Kada ya ELIMU baada ya Changamoto ya Ajira kuwa kubwa nililazimika kujiajiri Kuuza duka la Chakula hapa Dar es salaam. Nimebahatika kupata Nyumba (Kibanda) lakini Changamoto niliyonayo baada ya kufanikiwa Kujenga hali ya Msingi umekua wa Kusuasua mpaka kuihudumia...
  4. sonzawileme

    Nina shida na machine ya Famoco

    Ninaomba kama kuna mwenye machine ya FAMOCO aniuzie nina shida nayo nipo Dar. Mwenye nayo nitafute WhatsApp 0769946412
  5. sonzawileme

    Natafuta kazi

    Mm kitaaluma nimesomea Ualimu ngazi Shahada, Nilihitimu Chuo Mwaka wengi tunauita wa Majaribu 2015. Nimekua Muumini Sanaa wa Kuamini Kujiajiri Kama Nguzo Baada ya Ndoto tulioitegemea Ajira serikalini kuota Mbawa, Tokea Namaliza Masomo nilijiajiri Mwenyewe Kuchoma Viazi na Kuuza Chaja za Simu...
  6. sonzawileme

    IPO SIKU

    Kwa kuitazama Tanzania ya sasa na Siasa Zake zimEkua na msinyao wa Kitaifa hususani kijamii, kisiasa na kiuchumi. Taifa lolote duniani linahitaji Amani, Uongozi Bora , Siasa Safi, na Uzalendo kwa Nchi husika. IPO SIKU Kulingana na Mtazamo mkubwa wa mafanikio tuliyonayo ambayo hayashabihiani...
  7. sonzawileme

    Kuhama sio tatizo ila kuiishi katika ndoto je

    Habarini wana Jamvi, Katika maisha ya kawaida binaadamu wote huishi katika ndoto, na Mara nyingi pa bila kutafakari vizuri waweza ishia ndotoni tu ila kufika kwenye LENGO kuu ikashindikana (common good). Wanasiasa ni watu wanao penda kuhisi katika nyanja ndogo tu ya upeo wakitaraji makubwa hivi...
Back
Top Bottom