Kuna waislam wa aina mbili
1.Waislam jina(Munafikuna)
2.Waislam waumini
1.Hawa wanamajina ya kiislam pia hutenda kama watendavyo waislam wakiwa mbele ya waislam wenzao au watu wanaofahamu kuwa wao ni waislam hawa huogopa zaidi macho ya watu kuliko Allah
2.Waumini ni waule waaminio hata wakiwa...
Karibu Telegram.
Mwaka wa 5 natumia hii app.
Matumizi yake ni kama ilivyo whatsapp
Ila hii ina vitu vya ziada
1.Ni end to end encryptation
2.Ina cloud storage sms zangu za tangu 2015 bado ninazo
3.Ina group na channel unaweza kuwa na members zaidi ya 10000
3.Unaweza hide phone no
4.Ina search...
Ila inaweza tokea kama kuna uhaba mkubwa wa fani husika na za kipekee ukiwa na sifa za ziada ila sio kwa udaktari maana mwaka juzi Mgulani kwenye interview walikuwa watu wa MD nyomi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.