Nafikiri katika hili na wewe inabidi ujitafakari kabla ya kumkosoa mwenzako unaamini yafuatayo ambayo ni ya kiimani tu
1. Unaamini binadamu ana roho kama ulivotamka
2. Unaamini hiyo roho inaendelea kuishi baada ya kifo na unaitakia mema iende peponi
3. Unaamini kuna pepo ambako roho itaenda
4...
"Alitaka uwe mstari wa mbele kama wale mgambo wanaotangulizwa vitani ili wafe wa kwanza."
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah yaaani umeizungumza as if lengo la mgambo ni kufa wa kwanza
Siasa ya dunia haipo hivo, hakuna mtu yupo huru katika kila jambo, ukitaka kufahamu hilo angalia hata hapa bongo Zanzibar mambo yao mengi yanaamuliwa na sera za bara ingawa inajiona ni nchi kamili na hawaishi kulalamika kila siku.
Leo kuna nchi zinamiliki kila aina ya silaha lakini kuna baadhi...
Ungetulia ukamuelewa jamaa, naye anapinga chuki ya udini inayopewa Azam media kama unavyopinga wewe mkuu.
Ndiyo maana alikuuliza umeelewa alichoandika? Ungerudia kusoma ungemuelewa, ila ukapata jazba wakati wote mpo on the same page
Kwa maelezo haya nimeridhika kuwa kuna fairness kwa mawakala, kuna watu huko juu wanatoa maelezo kuonesha kuwa wakala unaweza kupigwa anytime, yaani ningeshangaa sana na kampuni za simu zingekuwa za ajabu mtu anacancel muamala bila kuwasiliana na wakala warudishe tu.
Mabingwa wa soka Tanzania bara(VPL) msimu wa 2019/2020, pia wakiwa ni mabingwa kwa mara ya tatu mfululizo ambao wamechukua ubingwa wa msimu huu kwa kuweka rekodi mpya ya kutawazwa ubingwa wakiwa na jumla ya mechi sita mkononi wapo mbioni kuweka rekodi nyingine ikiwa tu watachukua kikombe cha...
Kwahiyo Yanga iliyosajili magarasa Yikpe na Molinga tena magarasa mengine kibao ikayaacha dirisha dogo inapromote mpira wa Tanzania si ndiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka Simba walimruhusu aende nje (Sweden) kwa majaribio mwaka 2017 wakasema amefuzu sijui ikawaje akarudi tena, mwaka 2019 akaruhusiwa tena akaenda Sweden kwani iliishia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.