Search results

  1. Damian J Ntundagi

    Wazo la kufungua barabara ya Makambako to Mlimba

    kweli aisee ifakara mlimba,ifakara mahenge,mlimba malinyi,mlimba njombe,mahenge lindi,mlimba mafinga na malinyi songea ni barabara muhimu sana ila viongozi wanakomaa na kujenga vitu vya ajabu ili wapige madili
  2. Damian J Ntundagi

    Wazo la kufungua barabara ya Makambako to Mlimba

    kuna mkandarasi toka mwaka juzi amepewa kazi ya kujenga madaraja imekuja mvua madaraja yote yaliyojengwa yamesombwa na maji,Hiyo barabara nikupoteza fedha za wananchi tazara inatosha
  3. Damian J Ntundagi

    Wazo la kufungua barabara ya Makambako to Mlimba

    Hiyo barabara ikijengwa itagharimu kiasi kikubwa sana kuna mito zaidi ya ishirini mpaka kufika mgololo bora wajenge ile ya mlimba njombe kupitia lupembe
  4. Damian J Ntundagi

    Ukipewa nafasi ya kuwa Kiongozi kwa siku moja ni kitu gani utabadilisha cha kwanza?

    NAUNGA MKONO HOJA DINI NI TATIZO KUBWA SANA TANZANIA
  5. Damian J Ntundagi

    Kardinali Pengo aache kuchanganya dini na siasa, anatukera

    Mmuonye pia Mwamakula na Bagonza
  6. Damian J Ntundagi

    KERO Kero ya ubovu wa barabara ya Majohe Dar es Salaam

    UKONGA YOTE HAINA BARABARA NI MATOPE MATUPU
  7. Damian J Ntundagi

    Serikali haraka fungeni mipaka chakula kisiuzwe nje, machafuko na migogoro ya kivita viwape ari hiyo

    Tanzania tuna mapori ya kutosha mito na maziwa nenda ukalime na wewe
  8. Damian J Ntundagi

    Kinana Acharuka na kuwasha moto, asema wanarufiji wanahitaji misaada na siyo maneno

    Tafuta kituo chochote ujiunge na masomo ya qt upate angalau cheti cha kidato cha nne utapewa ajira hata ya utendaji wa kijiji
  9. Damian J Ntundagi

    Natafuta masoko ya Nafaka mikoani

    mashineni hata ukitaka tani 100 unapata
  10. Damian J Ntundagi

    Natafuta masoko ya Nafaka mikoani

    Huwezi kupata sehemu ya kununua mpunga kiurahisi tanzania labda mchele ifakara,mbeya n.k
  11. Damian J Ntundagi

    Nini maana ya "Wakili msomi"?

    Mawakili wasomi wanapatikana chadema
  12. Damian J Ntundagi

    Esther Matiko ahoji tofauti ya mishahara kwa askari magereza na askari polisi licha ya kuwa wote wapo wizara moja

    Kumbe wanaolipwa mishahara midogo ni wengi ila kila siku wanasimangwa walimu
  13. Damian J Ntundagi

    Suala la Bandari TEC hawakupata kama walivyozoea

    HUU UPUUZI UNAOITWA DINI UMEHARIBU SANA AKILI ZA WATANZANIA
  14. Damian J Ntundagi

    Dar inaongoza vijana watu wazima kuishi kwa wazazi wao

    KWAMBA HAKUNA MKOA WENYE VIWANJA BEI RAHISI KAMA DAR UNAIJUA DAR WEWE?
Back
Top Bottom