Mkuki kwa nguruwe... Kwa maelezo ya wadau wengi Wanaume sisi Huongoza kwa USALITI... Ila mwanamke wako akifanya ufanyayo ww hakuna namna ni kuachwa tu...ili hali wao husalitiwa na kusamehe
Baada ya kuusoma uzi huu nikajikuta nawakumbuka ndugu zangu walioko Tanga mashewa...Habar n mbaya nilizo zipata zaidi ya watoto wa 5 wamekufa maji...Huzuni sana...Ila wapo watu hufurahia hii hali
Ujana maji ya moto. Mara nyingi sisi wanaume hatujali kiukweli. Binti kaomba muda, amini kinacho kuumiza ni hofu. Kapime ndugu na ukikutwa unaishi kwa matumaini yaani ona kama vile vipimo haviko sahihi na uache ngono zembe.
SIKU ZOTE AWAZALO MJINGA HUTOKEA, SINA MAANA YA KUKUITA MJINGA mkuu ILA LAITI UNGELITAMBUA HALI ILE TOKA AWALI YOTE HAYO YASINGE KUKUTA... TAYARI ULIJLSHAJUA KUWA KUNA BAYA LILIKUWEPO KWA ISHARA ILE YA KILIO CHA MTT LAKINI ULIPUUZA LAITI UNGEJUA UNGEMUOMBA MUNGU KWA KINA... OMBA MUNGU AKUPE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.