wana jf naombeni eilimu juu ya haya
1.kuna madhara gani nikipangisha nyumba bila mkataba.
2.je mkataba wa kupangisha nyumba nautoa wapi-je naubuni tu mwenyewe.na kama nikiubuni tu mwenyewe utakuwa na nguvu za kisheria?.
3.je nikienda kwa wakili anaweza kuniandaloa mkataba-gharama zake vipi...
Wana jf sijui kama mnafahamu shule nyingi za bibafsi na vyuo vya ualimu vinaendeshwa kihuni sana.haya ni matokeo ya utafiti wangu wa muda mrefu-.matokeo
1.nyingi haziajiri walimu kwa mikataba,walimu wanafanya kazi kama vibarua anayetegemea mshahara wa mwisho wa mwezi tu.hapa ina maana muajiri...
nikiangalia mwelekeo wa ccm siamini macho yangu-ni kama naangalia filamu.kwa nini?.chuki kubwa ambayo imeanza kuchipuka kwa kasi mioyoni mwa watanzania dhidi ya chama hiki ni ufisadi uliokidhiri.na ni kweli kila mtu mwenye akili yimamu hilo analiona.lakini kwa bahati mbaya ccm wamejifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.