Tanesco nipo dodoma mjini mtaa kizota ninachangamoto ya nguzo ya umeme ya mradi wa REA imechimbiwa ndani ya kiwanja changu bila kushirikishwa siku wanachimbia nilikuwa safarini ,SAsa nataka kufanya ujenzi nashindwa nguzo imechukua nafasi kubwa pamoja chuma zake mnazochimbiaga chini nguzo...
Naomba nieleweshwe wakuu nimekuwa nikifatilia hii operation ya urusi tangu mwanzo ,ninachotaka kufahamu wanajeshi vitani wanakulaga chakula gani na kama cha kupikwa ni kwamba panatengwa mahali wanakuwa wanapikiwa kila mda na kusambaziwa au kinakuwa chakula let say cha makopo ambacho hukaa navyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.