Search results

  1. K

    Miaka 50 ya uhuru still no vazi la taifa!?... Mungu wangu!!!!!

    Waungwana nisaidieani mwenzenu sielewi kabisaaaaaa.... Hivi kutafuta vazi la taifa la Tz mwaka 2012 si sababu tosha ya kuwaburuza mahakamani mawaziri wote waliopita waliopewa dhamana ya utamaduni? kwa nini hatukutafuta vazi la taifa miaka ya 60 huko?.. kama zipo sababu za msingi nisaidieani...
  2. K

    Kuna faida gani viongozi kuwa na nyadhifa kwenye mihimili miwili tofauti ya dola kwa wakati mmoja

    Wakati huu ambapo tupo kwenye mchakato wa kuandaa katiba mpya, naomba wanaJF mnisaidie kujua ulazima wa mfumo unaoruhusu viongozi wetu kuwa na nyadhifa katika mihimili miwili tofauti ya dola kwa wakati mmoja... Yaani waziri ambaye ni kiongozi wa juu kwenye mhimili wa Serikali, ndo huyo huyo...
  3. K

    KUNA VITABU VINGAPI VILIVYOANDIKWA KWA KISWAHILI NCHINI? swali kwa BAKITA na TLSB.

    Kwanza niwakumbushe wanaJF wenzangu kwamba mustakbali wa nchi hii upo mikononi mwetu wenyewe, wala hakuna mgeni atakayefikiri na kufanya maamuzi kwa niaba yetu-kwa manufaa yetu. Sote tunafahamu ni kwa kiasi gani swala la lugha linalikanganya taifa letu ktk midani ya utoaji elimu kwa ufanisi na...
  4. K

    Hi, in here!!!

    Amani kwenu wanaJF wote, naomba nafasi kwenye siti za nyuma kabisa... Pamoja, au c o?
Back
Top Bottom