Wana jamvi, ma professional naomba msaada wenu....kama kichwa kinavyojieleza .
Zipo dalili kama homa ,mchoko,kutapika, tumbo kuuma, na vingine vingi.
Naomba msaada wenu wadau,
Natanguliza shukrani
Naomba msaada wa link ya kupata app nzuri ya kueditia video
Km movie
Nyimbo
Harusi
Nk.
Ile rahisi kutumia na iwe free..
Ahsanten naomba kuwasilisha ombi langu mezani.
Hp...window 7
Wana tech...naomba msaada ninaflash yang imegoma kuformatika...inaniandikia window canable to complite the format.
Nitumie njia gn ili kuformat flash zilisho shindikana?
Wadau naomba kuhoji..hivi june 30 ni mbali?
Selikali ilisema itatoa ajira mpya 9932 kwa ajili ya kufidia watumishi hewa walio ondolewa kabla ya june 30.
Na ifikapo mwez wa saba watatoa ajira zingine elf 50 na kitu.
Sasa mpaka leo mimi naona kimyaaaa na wala hakuuna tetesi.
Hivi tulisoma ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.