Search results

  1. X-Codee

    Jifunze Computer Science bila kwenda chuo

    Duuh wabongo ninavowajua kumaliza hizo coarse inahitaji wajitoe na inatakiwa awepo mtu wakukagua maendeleo nakuwapa mazoezi. Manake ni coarse za chuo za miaka mitatu hizo. Ila shortcut kwa anaetaka kuwa programmer ningeshauri asome javaScrip deep. Acheze kwenye kitu kinaitwa MEAN STACK...
  2. X-Codee

    Is Google implictly going to drop Java and use Kotlin for Android due to licensing issues with Oracl

    Hawa wazungu wanatupeleka peleka sana. Tumehamia kwenye RxJava bado wanaona haitoshi wanatuletea mambo mengine sijui hata wanataka nni. Watu wamewekeza sana kwenye android kama Samsung, Tecno, na makampuni kibao hata Nokia nae anajitosa . Nirahisi ku switch kwenda lang nyingine luliko...
  3. X-Codee

    Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

    Acheni kuchagua dhambi nyie, kama ni nchi yakislamu je zanzibar inaongozwa na katiba au sharia? Mlishampiga mawe alie zini au kata mkono alie iba -hapo nikuchagua dhambi tu. Mungu ndo anaehukumu sasa mnamsaidia sio? Let God be judge mengine tunaelekezakana nakutumia busara. Binadamu hana...
  4. X-Codee

    Mitandao ya simu kutoa siri za wateja, uhuru wa faragha upo wapi?

    Nahisi wewepia ni demu, ila kwa taarifa yako kama ndo upo huko serikalini udukuzi mtafanya kwenye mawasiliano yamitandao tu ila encrypted Apps itakuwa ngumu sana. Nasema hivi sababu nisha fanya coarse ya Security issues, najua how encryption na decryption work. Kama jamiiforums tu inawasumbua...
  5. X-Codee

    Mitandao ya simu kutoa siri za wateja, uhuru wa faragha upo wapi?

    Uyo anaeweza Icloud napenda mjua kuna simu kibao zimeshindikana uku. Maneno watu wanaweza bila evidence siwezi amini
  6. X-Codee

    Mitandao ya simu kutoa siri za wateja, uhuru wa faragha upo wapi?

    Nitafuatilia ila umesikia nani kadukua telegram? Unajua signal ni App ambayo snowdon ameipa credit? Unajua challenge imetoka yakudukua nahakuna mshindi? Acha habari zako , hao wadukuzi ni emails na mawasiliano ya simu sio encrypted Apps? Kama unaeza dukua fanya kwa telegram upate mpunga wako.
  7. X-Codee

    Mitandao ya simu kutoa siri za wateja, uhuru wa faragha upo wapi?

    Haya matatizo yakudukuliwa niyakujitakia siku hizi . Hivi mshawahi sikia tigo au voda wakisema mawasiliano yenu yapo secured ( encrypted)? Inshort kutumia mitandao yakawaida kudukuliwa inaezekana. Only and only way yakuwa angalau secured ni through instant messaging Apps kama Telegram, Signal...
  8. X-Codee

    Msaada namna ya kuweka windows kwenye simu ya android

    Hahaha Jose ur multipurpose guy vyote wajua. But kwa muuliza swali jibu nikwamba huwezi weka window OS kwa Android device kwasababu izo android device zimetengenezwa ku support Vitu vya android pekee. Pili huwezi change OS ya simu niku upgrade tu. Apps unazotumia kwenye simu most of them...
  9. X-Codee

    Hatua za kuanza kujifunza Computer Programming.

    Hongera mtoa mada, ila ningependa ongezea kitu. Kama kweli mtu umedhamiria kuwa nondo kwenye field ya programming basi chagua lugha moja komaa nayo kuanzia Beginner level, Intermediate level Hadi Advanced level Usionje onje. Soma elewa fanya mazoezi. Ningeshauri mtu apitie kwenye hizi njia...
  10. X-Codee

    Maisha yabinadamu katika computer !!

    Sometimes serious sometime kidding hayo ndo maisha yabinadamu. Hivi kwa mfano vitufe au kwalugha nyingine button za computer zingelikuwa katika maisha yabinadamu wewe ungelitumia button zipi zaidi kutokana na situation uliyonayo? Mfano:- >>Play button Hapa una switch maisha yaendelee...
  11. X-Codee

    Google wanazidi badili ulimwengu

    Fahamu yanayoendelea kwenye technology kwasasa na uvumbuzi wa google. Mungu atusaidi tufike huku siku moja.
  12. X-Codee

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Thanks mtoa mada, nimepata kitu leo, watu wanatamani sana fanya hii kitu ila tukumbuke Good entrepreneur must be neutral to win and lose Hii kitu sio risk free kiasi hicho inahitaji kutuliza akili tusiwe tuna focus zaidi faida. "Potential return rises with an increase in risk" Nipende...
  13. X-Codee

    Programmer naomba msaada wenu

    Kukazia usemi wangu piteni hapa https://www.quora.com/Which-language-is-going-to-dominate-the-future-of-web-development-JavaScript-PHP-Ruby-Java-Scala-or-Python/answer/Adam-Englander-2 Napia piteni hapa kujua watu wanavo migrate na sababu...
  14. X-Codee

    Programmer naomba msaada wenu

    Nilitaka potezea majibizano ila wacha niseme kitu. Nimeweka izo lang pamoja coz zote ni javaScipt ivi mabano hayaeleweki au Kama node.js sio javaSript niambie nikitu gani? Node.js ni javaScript at back-end naifahamu vizuri sana , mtu akijifunza JavaScript basi hasumbuki na Node. Ktk compny...
  15. X-Codee

    Programmer naomba msaada wenu

    Sina mengi zaidi ya Asante Mr . I hope watu wamejifunza piah So peace!!
  16. X-Codee

    Programmer naomba msaada wenu

    Jamii forum nisehemu ya kuelimishana. Swali langu kuuliza kuhusu facebook linajibiwa vizuri na hii link hapa Comparison of HTML parsers - Wikipedia Angalia comparison za izo html parser angalia latest data za PHP -htlm parser napia angalia ability za php- html parser utajua kwanini hutakiwa...
  17. X-Codee

    Programmer naomba msaada wenu

    Thanks kwa michango nimeshafanya maamuzi teyari. Nitatumia Rome library ROME - Home Ambayo ni java library Language ni issue kwa ajili ya parfomance kiongozi Python wana library poah feedparser na nyingne imekuja na framework ya django nifresh ila problem with me mahaba yangu na kikombe...
  18. X-Codee

    Programmer naomba msaada wenu

    Mawazo yawadau wengine yanaruhusiwa piah, Language poah kuandika program inayosoma rss feeds, kama Feedly
  19. X-Codee

    Programmer naomba msaada wenu

    Kiongozi, umetisha sana, nina option tatu zakuondika hii kitu, Python, java na php lang ipi itanipa perfomance nzuri na best output. Php siipendi ipo slow nadhani jamii forum wanatumia php coz updates za info na notification zipo slow mbaya. Plz ur recommendation Sir
Back
Top Bottom