Search results

  1. K

    tumia line yoyote kwa modem yoyote bila ku unlock

    Re: tumia line yoyote kwa modem yoyote bila ku unlockHapo poa kaka ninapata net kwa kutumia laini zote sasa
  2. K

    Sua all the best

    Nawatakia kila la kheri, kazeni msuli.mungu atawajaalia.
  3. K

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Naomba nieleweshwe namna ya kuchanganya chakula cha kuku
  4. K

    Internet ya vodacom (30 bomba)

    Mkuu hebu tuambie tunawezaje kuchakachua hii ya voda tulionayo maana ni balaa tupu
  5. K

    Yesu akasema; "Simoni, acha kuvua Samaki....!"

    Re: Neno La Leo: Yesu Akasema; " Simoni, Acha Kuvua Samaki....!" Bwan mjengwa, hili la kuuziana nyumba zetu linasikitisha sana ila nina imani kizazi hiki iko siku kitaweza kurejesha haki hii iliyoporwa na wajanja wachache.
  6. K

    Kuna uhalali gani baadhi ya watumishi serikalini kupandishwa cheo bila kurekebishiwa mshahara.

    Inasikitisha sana serikali kuwapandisha cheo baadhi ya watumishi wake na kuchelewa kuwarekebishia mshahara wao kwa zaidi ya miaka mitatu. Hivi kuna mantiki gani kumpandisha cheo mtumishi iwapo anendelea kulipwa mshahara ambao hauendani na cheo hicho.
  7. K

    Ushauri: Tiba ya kikohozi na mafua

    TUNASHUKURU SANA, X-PASTER ENDELEA KUELIMISHA JAMII
  8. K

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Well said, ni sawa kabisa, kujifunzia unaweza anza na cha kununua, ila faida hamna, tengeneza chakula mwenyewe, hakikisha usafi wa vyombo na banda, zuia ubichi bandani, hakikisha wakiumwa tu, watenge ukianza kusitasita ndo anavyosema huyo banda zima linakwisha. Unaweza fuga kiasi chochote...
Back
Top Bottom