Re: Neno La Leo: Yesu Akasema; " Simoni, Acha Kuvua Samaki....!"
Bwan mjengwa, hili la kuuziana nyumba zetu linasikitisha sana ila nina imani kizazi hiki iko siku kitaweza kurejesha haki hii iliyoporwa na wajanja wachache.
Inasikitisha sana serikali kuwapandisha cheo baadhi ya watumishi wake na kuchelewa kuwarekebishia mshahara wao kwa zaidi ya miaka mitatu.
Hivi kuna mantiki gani kumpandisha cheo mtumishi iwapo anendelea kulipwa mshahara ambao hauendani na cheo hicho.
Well said, ni sawa kabisa, kujifunzia unaweza anza na cha kununua, ila faida hamna, tengeneza chakula mwenyewe, hakikisha usafi wa vyombo na banda, zuia ubichi bandani, hakikisha wakiumwa tu, watenge ukianza kusitasita ndo anavyosema huyo banda zima linakwisha.
Unaweza fuga kiasi chochote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.