KUNA NAFASI 6 ZINAZOHITAJI KUJAZWA KATIKA KAMPUNI YA CLEARING AND FORWARDING.
KAZI:KUFANYA DECLARATION NA KUTENGENEZA DOCUMENTS KATIKA TANCIS SYSTEM(2)
KU-PROCESS DOCUMENTS SHIPPING LINES NA KWA CONSOLIDATORS(2)
KUTOA MIZIGO BANDARINI (2)
SIFA;ELIMU YA...
KUNA NAFASI 6 ZINAZOHITAJI KUJAZWA KATIKA KAMPUNI YA CLEARING AND FORWARDING.
Kazi: Kufanya declaration na kutengeneza documents katika tancis system(2) ku-process documents shipping lines na kwa consolidators(2) kutoa mizigo bandarini (2)
Sifa: Elimu ya sekondari...
KUNA NAFASI 6 ZINAZOHITAJI KUJAZWA KATIKA KAMPUNI YA CLEARING AND FORWARDING.
KAZI:KUFANYA DECLARATION NA KUTENGENEZA DOCUMENTS KATIKA TANCIS SYSTEM(2)
KU-PROCESS DOCUMENTS SHIPPING LINES NA KWA CONSOLIDATORS(2)
KUTOA MIZIGO BANDARINI (2)
SIFA;ELIMU YA SEKONDARI...
Wadau,
nawaletea hoja nyingine amabapo FANTUZI ICD ,yard inayopokea makontena ya mizigo toka nje au kwa maana nyepesi ni mojawapo ya Bandari Kavu zilizoteuliwa na Kamishna wa Forodha kutunza mizigo inayotoka nje vkable ya kulipiwa kodi na ikishalipiwa wenyewe wanachukua.
Yard hii kwa sasa...
Wadau,
Baada ya takriban miaka kadhaa bila kutoa leseni mpya za Clearing and Fowarding hatimaye TRA wametangaza makampuni yatume maombi lakini wakiweka masharti magumu sana ya kifisadi.
Masharti hayo magumu ni namba moja na namba tatu.
Sharti namba moja linasema'' kampuni lazima iwe na...
Wadau naomba msaada wenu.Nahitaji used Crankshaft ya Engine 5VZ.
Nimezunguka sana bila mafanikio.
Nitashukuru kwa ushauri wenu na msaada wenu utakaoniwezesha kuipata.
Asanteni sana.
Wanajamii inabidi mumfahamu daktari wa TMJ Hospital kwa jina la Kapiteni. Huyu ni mkongomani asiye na adabu hata kidogo.
Kila msichana na mwanamke anaeingia katika chumba chake cha udaktari lazima amtongoze kisha anampeleka nyumbani kwake ambako si mbali na hospitali kufanya ngono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.