kipind nipo shule ya msingi tuliambiwa kuwa tukisikia harufu ya pilau chooni mida ya saa saba mchana, tusiseme kuwa eti pilau inanukia, eti huyo ni jini, tukisema tu tutapigwa makofi.
nahisi hizo ni nadharia tu.
Me nishamshuhudia mamba live, acha asee dude hilo linaogopesha.Nakumbuka kipindi tunalima nyanya kando ya ziwa 2021 hiyo, maliasili wenyewe walimshindwa halafu kulikua na case ya mvuvi kupotea ikawa inasemekana ni huyo mamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.