Technology ndio imeleta hii generation watu hawatembei tena miles , Mashine za Kuwafanyia kazi zimejaa ivo Mambo ya Kuminyana yanayojenga muscles za mwili yamepungua sana,
Mkuu Mimi nimeyaongea hayo kama mtaalamu wa Umeme, kama ni ivo basi ata pasi isungeshauriwa kuigusa ili ujue kama imepata moto uanze kupasi, Kikawaida Heater ni element inayofanya conversion kutoka umeme kwenda joto, Voltage ikiwa applied Basi heater hutengeneza Drop kubwa sana hio drop...
Kwa sampuli izo Za insta tangu watoto wadogo, Unakuta mtoto mama ake ana danga na danga lenyewe linaletwa ndani, Sioni kosa la Ayubu ambaye amefata natural
Machotara hawaaminiki kabisa mana ndio Double agents wa Intelligence community nyingi Huwa na maisha magumu tu kama watakuwa ndani ya Mifumo ya serikali
Mkuu usafi ni Swala la kijamii wala halina hadhi leo eti ni sawa useme umeamka usifagie wala kutandika ulipo lala kisa mke na House gal wapo hapana Hio mara moja moja sio mbaya kufanya lazima hao wanajeshi wachanganyike na Jamii ili kuleta mahusiano Nao Mazuri, Rais mwenyewe kuna wakati...
Hela ni ya kwake kwanini umpangie matumizi?? Kwani ni Wapi kavunja Sheria hao kina Mo wenyewe hapo Wako Kutafuta publicity tu, Utakuwa mjinga sana ukiamini Mo anasaidia kwa moyo mmoja bila side benefits, Ivi Mo ni wakupitisha bakuli kwa 30m, Viongozi na Hao tunao ita matajiri hawawezi Kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.