WOSIA WA CHIEF KATIKA SIKU HII YA MOTHER'S DAY.
Niweke bayana kina Mama tunaowawish leo ni toleo la zamani sio vidada vya siku hizi.
Kuna uwezekano watoto wanaozaliwa sasa wasione uzito wa hii siku
Wapi hawa wadada wameumizwa na malezi ya watoto?
Muda gani wanao wadada wa siku hizi juu ya...
Mwaka huu kweli masharti ni mengi mpaka napatwa na wasiwasi mkubwa.
Nimejaribu kupitia utaratibu wa utoaji wa mkopo kwa waombaji {Applicants} wa 2018/2019 kuna vigezo ambavyo ninaona hujuma juu ya watoto wa Maskini Kujiunga elimu ya juu {Chuo kikuu}.
Nimesoma kipengele cha sita kinaeleza kuwa...
TESO KUBWA SANA KATIKA MAISHA YA MWANADAMU NI KUMPENDA MTU ASIYE SAHIHI KATIKA ENEO LILILOSAHIHI YAPO MAMBO 25 YANAYOJITOKEZA*
1. Mtu asiye sahihi huleta mahangaiko na mateso.
2. Mtu asiye sahihi huleta majuto katika maisha.
3. Mtu asiye sahihi huleta umasikini, taabu na maumivu.
4. Mtu asiye...
Umeshawahi kwenda kwenye harusi halafu Dj akawa anaplay mziki wakati huo mziki uko sauti ya juu sana halafu unaongea na rafki yako kwa sautiii ili akusikie.
mara Dj anazima gafla mziki halafu Inakukuta unapayuka
"Bibi harusi mbayaa"
halafu umekaa nyuma ya meza ya wazazi wake
Hapo ndio utajua...
SUGU NA MASONGA WAMERUDI, TUJIULIZE!
Leo tarehe 10 Mei 2018, Mbunge wa Mbeya Mjini a.k.a Sugu pamoja na kiongozi mwenzake wa Chadema (Masonga), wametolewa gerezani. Kihesabu wamekaa gerezani kwa miezi mitano gerezani (Siku 73) miezi miwili na nusu - ikiwa tutachukulia ile hesabu ya Kiswahili...
HIZI NDIO TABIA MBAYA ZAIDI AMBAZO KARIBU KILA MWANAMKE AWEZA KUA NAZO JAPO WENGI HUJITAHIDI KUZIFICHA.
1. Si wakweli hasa ikiwepo harufu ya pesa sehemu, mwanamke yuko tiyari kumuita mwanaume wake kinyago, mjinga, mwanaume suruali kisa kaishiwa hela, wanaume wengi sana wamesaidia wanawake mpaka...
NUKUU YA LEO.
"Ujinga hauondoki kwa kumchukia mwenye akili, umasikini hauondoki kwa kumchukia tajiri, kuhesabu dhambi za mwenzio hakukufanyi wewe kuwa mtakatifu...,"
Nakutakia siku njema.
Kuna kundi kubwa la vijana wenye mtaji wa mawazo na ubunifu wa biashara na karama zao, ila wamekosa mtaji [pesa] wa kuendeleza mawazo yao chanya.
Graduates wengi hawana vigezo vya kukopa pesa kwenye taasisi za kifedha kutokana na vigezo na masharti magumu na sifa za mkopaji kuwa magumu...
UNAJUA YA KWAMBA….
1.Kitu kizuri kupita vyote ni: UPENDO
2.Kitu rahisi sana kuliko vyote ni: KUDANGANYIKA
3.Zawadi kubwa kuliko zote ni: KUSAMEHE
4.Ajali kubwa kuliko zote ni: KUKATA TAMAA
5.Kitu kinacho danganyika sana kuliko vyote ni: MOYO
6.Kitu kinachojenga pia kubomoa kuliko vyote ni: ULIMI...
MADA.
Ni sahihi kwa wazazi walio okoka
Kupanga uzazi!......
Je! ni halali kutumia kinga! kuzuwia
Mimba pale ambapo hawahitaji mtoto!
Je! Wazazi kujipangia watoto nisawa!!
Mf; Tunataka tazae watoto wa 2'3'4'4'nk!
Je! Kuna andiko lolote linalosaport hayo.
KARIBUNI TUCHANGIE WANAWAKE.
Nauliza "Wale WANAMAZINGAOMBWE" waliokua wanageuza MAKARATASI kuwa HELA tukiwa PRIMARY SCHOOL wapo Wapi? Huu ndio Muda Sahihi sasa nina RIM PAPER Kama 3 ivi .
UKIAMUA KUWA NA MAHUSIANO NA MUME WA MTU LAZIMA UKUBALIANE NA MAMBO YAFUATAYO:,
1.Baby samahani dakika moja,wife anapiga simu
2.Baby muda umeenda Sana mke wangu atanipigia, wacha niwahi kurudi nyumbani, Kesho saa 12 nitakuwa hapa
3 Bby nataka kuja kulala kwako mke Wangu amefiwa kaenda kwao...
*HII NI KWA WANAUME WOTE*
*Wanaume wenzangu, tufanye kazi kwa bidii tutafute hela ili uzee wetu tuwe na uwezo wa kujitegemea. Hakikisha kwenye uzee wako una pesa zako mwenyewe za kukufanya usurvive. Sahau kuhusu watoto, na mama yao kwamba watakutunza. Wewe ndiye stranger pekee kwenye hiyo...
*HII NI KWA WANAUME WOTE*
✍✍✍✍✍✍✍
*Wanaume wenzangu, tufanye kazi kwa bidii tutafute hela ili uzee wetu tuwe na uwezo wa kujitegemea. Hakikisha kwenye uzee wako una pesa zako mwenyewe za kukufanya usurvive. Sahau kuhusu watoto, na mama yao kwamba watakutunza. Wewe ndiye stranger pekee kwenye...
Tafakuri!
'Ukitaka kujua wewe ni nani? Usiulize ,Fanya kitu. Matendo yatakutafsiri na kukuelezea wewe ni nani".
Kwa hiyo usisahau kwamba njia bora kabisa ya kujitambua ni kujitoa kwa wengine hii ni tafakauri ya mwanajamii maarufu...
Inapokosekana haki na demokrasia haipo tena, na inapokosekana demokrasia haki nayo hutoweka.
Watu wengi wapenda haki hapa duniani waliishia kubezwa na kuswekwa nyuma ya nondo Kwa sababu anachokihoji watu fulani hawataki wakisikie.
Leo hii ukiuliza swali dogo tu kwamba DEMOKRASIA ni nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.