Sema watu wanachanganya sana..
Kwani kuwa mwanajeshi ndio unakua unajua ngumi? Kwanza vita ya sasa hivi ukiona imefikia hatua ya watu kutumia ujuzi wa ngumi ujue kuna vitu haviko sawa kabisa.
Siku hizi hata pande mbili zinazopigana hazionani sura kwa sura .
Uwezo wa askari wa Jw kujua ngumi ni...
Mkuu hivi dunia hii na utandawazi huu umeshindwa hata kugoogle ukaona kama korodani moja haiathiri uzazi wako?
Dunia hii ya 2000+ ni ya mtu kuanza kusikiliza maneno ya watu wakati consultation kwa daktari ni kama 5000 tu na daktari bingwa ni kama 15k hadi 25k.?
Sasa illiteracy yako inakukost ...
Mwambie huyo jamaa kwamba, dem ana jamaa mwingine ndio maana kaanza visa.
Na possibly huyo dada alishaanza ku regret kuolewa wakati bado yuko kwemye peak. Anaona ndoa inambana ndio maana analeta vi sababu vya kiwaki.
Tulishasema USIMKOPE HELA MWANAMKE . Either unampa bure au unamnyima. Haya mambo ya kukopana acha wakopane wao kwa wao. Huwa wanajua jinsi ya kudaiana vizuri.
Personally siwezi kudate na mtu anayetaka kujiua. Kama unaweza kukatisha maisha yako mwenyewe unashindwa nini kuniua nikukuudhi siku moja?
Hao watu wenye suicidal ideas wanatakiwa kuwa Mirembe wanatibiwa sio kuwa kwenye mahusiano.. siku utatolewa roho wewe halafu utakuja kutuma mrejesho kutoka...
Mimi sijali kama huyo GSM ni msafi au sio msafi .. ninachotaka ni makonda alipe kwa ushenzi aliofanya.. kuanzia kumpiga kofi mzee wetu Walioba hadi kuvamia studio za Clouds..
Hata kama atalipa kwa kosa ambalo hajafanya lakini alipe tu. Ili iwe fundisho kwa watu waliopo kwenye uongozi au...
Africa kwa nini tukemee? Kwanza naona yanayotokea huko kama ni Karma inalipa.. sisi mbona tunauana kila siku na hakuna anayejali? Na wao kama wameamua kuuana acha wauane.
Tena NATO wafanye waingilie hio vita ili moto uwake Europe yote iwe kama Libya .. watoto wao na wanawake wao wafe kama Congo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.