Baada ya mdau mmoja kuanzisha Uzi akizungumzia wasanii was vichekesho wasiojua.
Mimi nawaletea wasanii wangu wanaojua katika sector ya bongo flava
Ninaposema wanaojua nazungumzia aspects nyingi za kimziki siyo kujua kuandika tu ngoma
Kujua kuandika nyimbo siku zote siyo kipimo cha kua...
...wanandugu nimekua nikisikia hilo neno IQ kwa muda sasa bila kufahamu kwa undani has a
Pamoja na miaka yangu almost 28 sasa sijajua ni kipimo gani hasa kinatumika kupima IQ ya mtu
Maana nimekua nikisikia ooo lampard ( mchezaji wa zamaji wa club ya Chelsea ana IQ ya 75) sijaelewa kipimo...
Wachawi wa hizi kazi ngoja tuwape utabili alafu ole wenu kesho msiniappriate:
Sevila vs Barcelona
Juventus vs Bayern Munich
Liverpool vs Real Madrid
Roma vs man city
Jaman unaweza kuonekana kituko mtu mzima kushabikia tangazo lakini hawa jamaa(Barnabas classic na Christian Bella wamelitendea haki hili tangazo la Nyaka Nyaka Bonus
Hakika hawa washikaji wameimba mtu yoyote mwenye feeling na mziki mzuri atakua ameona uwezo wa hao miamba wawili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.