Habari DART,
BINAFSI LEO NILIKUWA NATAKA KUANDIKA UJUMBE MKUBWA SANA JUU YENU.
Kabla sijafanya hivyo ndio nimekutana na account yenu hapa.
Binafsi ninayo yafatayo juu ya huduma zenu.
MIMI NAISHI MIKOANI ILA NIMEKUWA NIKIJA SANA DAR ES SALAAM MARA KWA MARA.
Kwa kipindi cha mwezi 7,8,9 mwaka...
Hahaaaaaa.
Unajuwa jana nimeona jamaa mmoja anatangaza kwa mbwembwe kweli juu ya kifaa cha kubadili umeme wa gari kwenda ac yaani inverter.
Wakati kwenye outlander hii ni kitu ipo tena og kutoka Japan.
Sijui Changamoto kwetu iko wapi.
Nimekuelewa mkuu sema nilikuwa ninajibu mtu mwingine juu kumbe nime quote kwenye comment yako. Pole sana. Kwa sasa sijafutilia bei ya Okm hiyo ya 2020 au 2022.nitaifutilia kwenye soko lake. Nakukujuza tena
Kama wabongo tungekuwa tunatoa taarifa sahihi ingekuwa jambo zuri sana.
Mtu unakuta anaongea kaneno kamoja tu mara janja janja,,, tujitahidi vijana tubadili mitazamo yetu. Tuwe kama vijana wa nnchi zilizo endelea.
Mind set ya kulalamika na kuleta mizaha, kuongea kitu usichokua na uhakika ili...
Hahhaa. Hii ni gari wazee. Mie ninawatu zaidi ya ishirini wanayo ni gari. Achana na watu wanaoibuka na sentesi moja ya kukatisha watu tamaa. This is one of the best car ever.
Hahaha acha kuwaogopesha watu, hizi gari ziko vizuri sana. Nitawaletea Changamoto zake ambazo ni common, ila kwa kutumia kama hutaki kwenda garage kila mara kama toyota hizi ni gari ngumu mno. Tofauti kabisa na toyota.
Tujitahidi kuleta taarifa za uhakika kutoka kwa watumiaji. Ili watu wapate...
Gari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo
Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania.
Gari hizi zina vitu vingi sana ambapo gari nyingine kama Toyota huwezi pata hasa ukilinganisha bei yake.
Mitsubishi outlander...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.