Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa Watanzania

Sio kweli Mkuu

Nina miezi 13 sasa tangu nianze kuitumia, nikienda garage huwa ni kufanya service ya kawaida ya kubadiri oil tu
Kuna muda issue ya gari naona ni mambo kama ma 4 hivi kabla hujalaumu gari fulani ni mbovu.

1. Matumizi ya gari yako (unaendasha offroad sana au la, au distance unyoendesha daily. Mfn mtu anakaaa upanga anaenda kazini posta daily Na mtu anayetoka bunju ndani ndani na kwenda kazin posta daily matumiz ya chombo ya mtu wa bunju yatahitaji more care.

2.service ya gari yako spare OG na sahihi especially lubricants(kila unachotumia kifuate manufacturer recommendation sio fundi maiko kasema nini.

3.Gari ulinunua ikiwa na condition gan? Kama ulibambikiwa itabid upambane na hali.

4. Bongo kuna muda baadhi ya mafundi wanatuangusha. Kitu ambacho ungefix mara moja baada ya kujua tatizo lake kwa fundi wako anazingua na unakirudia kufix kwa mafundi wengine ambapo unakuta fundi wa mara ya tatu au nne ndo anajua tatizo halisi. So hao wengine walioshindwa kufix wanabaki tu kusema gari flan mbovu usinunue.

e.t.c
 
Kuna muda issue ya gari naona ni mambo kama ma 4 hivi kabla hujalaumu gari fulani ni mbovu.

1. Matumizi ya gari yako (unaendasha offroad sana au la, au distance unyoendesha daily. Mfn mtu anakaaa upanga anaenda kazini posta daily Na mtu anayetoka bunju ndani ndani na kwenda kazin posta daily matumiz ya chombo ya mtu wa bunju yatahitaji more care.

2.service ya gari yako spare OG na sahihi especially lubricants(kila unachotumia kifuate manufacturer recommendation sio fundi maiko kasema nini.

3.Gari ulinunua ikiwa na condition gan? Kama ulibambikiwa itabid upambane na hali.

4. Bongo kuna muda baadhi ya mafundi wanatuangusha. Kitu ambacho ungefix mara moja baada ya kujua tatizo lake kwa fundi wako anazingua na unakirudia kufix kwa mafundi wengine ambapo unakuta fundi wa mara ya tatu au nne ndo anajua tatizo halisi. So hao wengine walioshindwa kufix wanabaki tu kusema gari flan mbovu usinunue.

e.t.c
Upo sahihi Mkuu

Matumizi yangu yamekuwa wastani ingawa nasafiri nayo kwenda Mikoani mara chache umbali wa kilomita 1,600 kwenda na kurudi
 
Gari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo
Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania.

Gari hizi zinavitu vingi sana ambapo gari nyingine kama Toyota huwezi pata hasa ukilinganisha bei yake.

Mitsubishi outlander 2006 - 2015
1.Ni gari inakuja na charging system ya laptop, yaani unaweza kuchomeka switch sockate na ukaweka charger yako vizuri... Kwa kifupi
Gari hili linabadili umeme wa dc kwenda ac.
Kwa watu wanaopenda kutumia laptop wakiwa safari hii gari unaweza kutumia laptop toka Dar mpaka Mwanza, bila kuizima unafanya kazi tu au unaangalia series.

2.Gari hii inakuja na kifridge kidogo kuweka vivywaji uwapo safarini.

3.Gari hii ina option ya 4WD

4.Gari hii inakuambia muda wa kupumzika ukichoka safarini.

5. Gari hii inakuja na mziki mziti yaani subwoofer isiyojaza buti.

6.Gari inakuja na seat 7.

7.Gari hii ina option ya manual na automatic.

8. GARI hii ina gear 6, inaifanya itumie mafuta kidogo.

Hii gari bei yake ipo chini ya kina harrier, kulger na Vanguard. Kitu ambacho hivi vitu vyote vingekuwa kwenye hizo gari bei zake zisinge shikika.
Unyama mwingi
 
Kuna muda issue ya gari naona ni mambo kama ma 4 hivi kabla hujalaumu gari fulani ni mbovu.

1. Matumizi ya gari yako (unaendasha offroad sana au la, au distance unyoendesha daily. Mfn mtu anakaaa upanga anaenda kazini posta daily Na mtu anayetoka bunju ndani ndani na kwenda kazin posta daily matumiz ya chombo ya mtu wa bunju yatahitaji more care.

2.service ya gari yako spare OG na sahihi especially lubricants(kila unachotumia kifuate manufacturer recommendation sio fundi maiko kasema nini.

3.Gari ulinunua ikiwa na condition gan? Kama ulibambikiwa itabid upambane na hali.

4. Bongo kuna muda baadhi ya mafundi wanatuangusha. Kitu ambacho ungefix mara moja baada ya kujua tatizo lake kwa fundi wako anazingua na unakirudia kufix kwa mafundi wengine ambapo unakuta fundi wa mara ya tatu au nne ndo anajua tatizo halisi. So hao wengine walioshindwa kufix wanabaki tu kusema gari flan mbovu usinunue.

e.t.c
Umeongea ukweli.. Kitu kingine wabongo tunataka gari lisichoke milele kama vile roho au coral paint alitumia babu mpaka mjukuu
 
Kinachotukosesha vitu vizur ni wauza spea hapa bongo
Unakuta gar nzur mtandaon
Ila ukiangalia brand unaogopa kuanza kupata tabu ya spea.nazionaga sana chuma Renault, wakina Volvo. Ndio hayo hio outlander nzur kuzidi ma harrier ila mtu anaona bora toyota hatapata tabu ya spea
 
Back
Top Bottom