Big Dy
JF-Expert Member
- Dec 23, 2015
- 467
- 541
Mkuu hao autocom wana office zao hapa Tanzania au u a deal nao vip kuamini wanakuleta ndinga nq si janja janja.Unapata mkuu ukiwa fresh wacheki jamaa wa Autocom Japan wanabei nzuri. Mfano Mitsubishi Outlander ya 2010 ukiikuta Befoward bei inakuwa tofauti na Autocom kwa tofauti ya $ hata 800 au 1000 ni vile maraia wamekariri Befoward na kwingine