Hapo itakua serikali ina tegeneza matabaka katika elimu kwanini isi boreshe shule zote, na kiingereza iwe meadiam of instruction, kiswahili liwe soma kama mengine, wakati uwezo serikali inao.
Wahaya hawapendani, sehemu yoyote esie karibisha wageni, na imeja wivu na fitina miongoni mwao haiwezi kupata maendeleo, walio endeleza dar sio wenyeji
Sijui kwanini sie ma shabiki na wapenzi wa Chelsea tukifungwa hata mechi moja tuna changanyikiwa, akili zetu zina badilika unaweza kulinganisha keppa na mendy, huyu keppa anaepoteza mpira kizembe pass tu huwezi, ile gori angekua makini angelisave kwanini hakudaivi kufuata ule mpira, mendy iko...
Hatikumpa nilikua safari bibi yake akanipigia simu kunieleza yote hayo na jitihada zake nilikatisha safari nilikua sijafika mbali nilimtandika kweli na sikumpa chochote hata siku ya parenta vistation sikuenda kumuona nilienda siku nyingine tofauti, kuongea na waalimu na kukagua maendeleo yake ya...
Mkuu kwani kila mtu lazima aweze math, nilisema mosomo yote anafaulu kwa average ya c na kuendelea isipo kua math tu. na sie nguvu za kufaulu hesabu tume muongezea tu hatuja ridhika bado na hilo somo
Usije kudharau mtu anae tishia kujiua ni hatari anaweza akafanya lolote, na utausishwa na kifo chake ulikua unapaswa kupeleka taarifa kituo cha police kilochopo karibu.
Hapana mkuu mimi sio mwizi na pia nachukia sana wizi na kusema uongo hata zikiwa mali za umma au za kampuni, wa zazi wangu wote ni watu walioshika dini sana sisi hatujalelewa katika maisha ya ujanjaujanja, sijui huyu mtoto vinasaba vya wizi kavitoa wapi
Hapana sio kweli mimi ndo nilimuelezea wakati yeye anakata baada ya kudokowa vicenti vyangu kwenye gari langu yeye ame amini baada ya kumpiga za atm [emoji763]
Hiyo ni adhabu kubwa kwa mtoto wa umri wake kule jela kuna tabia mbaya nyingi pia utamaduni wa kiafrica kumfunga mwanao jela ni mkosi , pia sijui wajomba zake watanielewa je.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.