Umenikumbusha jombi enzi hizo alikuwa anatikisa sana huku mbeya niiikuwa nasikia kuwa alikuwa anatoa taarifa kabla ya tukio sasa sijui ilikuwa kweli au ni stori za kizushi
Kazi zinasheria zake lazima ufuate. Kwa mfano viwanda vya chakula haitakiwi mtu aliyena magonjwa kama typhoid, amoeba etc, kufanya kazi mpaka atakapotibiwa ndio maana kunakuwa na taratibu za kuwapima Wafanyakazi kila mda. Na hiyo ni standard ya food safety.
:rolleyes::rolleyes::rolleyes: hapo naona firmware itakuwa folder la t-smart hayo mengine sio. capacity ya simu inaendana na firmware size yake, kaiOS ni lightweight OS na hata apps zake ni ndogo sana less than 5mb, sasa ukiniambia hizo gb karibia mbili hata kwa fimbo siwezi amini.
Hapo sio kweli. Zuku ina option ya kusearch FTA (Free to Air) channels. Hata usipolipa hizo FTA zipo japo si za bongo lakini atleast unaweza papasa macho. Channel kama DW, france 24, nhk, RT etc huwa zipo uanona bure. Ila kwa channel za bongo hao wana TBC tu na labda zile za sinema.
[emoji2][emoji2]kisimu kama kile hakiwezi kuwa na file kubwa hivyo storage yake yenyewe ni 4GB. Hilo file ni la virtual machine ya linux (based on its name) jamaa anakuingiza kingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.