of coz it was a Joke of the decade if not century, but my worry is, the Integrity of our judicial system, it has been paralysed to extent that it cant be further entrusted in granting justice
Lets keep praying for the good
Dawa ni Jizoeze kutumia kondomu kwanza unapoanza tendo kwa bao la Lkwanza na la pill kisha toa kwa bao la tatu kama ni kwa mpenzi mliyepima nae, otherwise jaribu kuwa unawaza vitu vingine wakati wa tendo usiconcetrate xana, waza madeni, kodi za nyumba, njaa, ccm, na majanga mengine hii...
Si mbaya kukumbushana tulikototoka....
1. Nikiwa form one nilitokea kumpenda binti wa mwenye nyumbani(nilipokuwa nimepanga) hivyo akanikaribisha chumbani kwao usiku ile, nikaingia kupiga gemu, nikapiga nikapiga, mida ya saa5 waliingia wageni wa kike toka musoma bila kutarajia, wakapokelewa na...
Majitu kama haya ndio yanabania juniors kupata kazi ridhikeni na mlipo maendeleo siyo mshahara Bali mipango.... Maisha lini kuhama hama mkifata mishahara mikubwa..... Endeleeni kupewa ripoti mbaya hivyo hivo
Hamna Elimu Bongo ........Kenya wako juu tena juzi waliufumua mfumo wao wa elimu na sasa wamekuja na mwingine ambapo mtoto anafundishwa masomo anayoyaweza tu
Maskini misukule ya magufuli, hawana pesa ila anatamani kuajiri, uwezo hawana, wamebajiza matamko tu ....... madaktari mlioko Tanzania njooni tufanye kazi Kenya, achaneni na porojo za magufuli, hata msipoletwa katika ajira 500 za kenyattra njooni binafsi Kenya moja moja achanane na madalali hao...
Ukiscan original huhitaji kucertify acheni ujinga, hizo general conditions zipo tu tangu miaka ya zamani huwa havibadiliki, tulia cheti original wait for being shortlisted
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.