Aende haogopi atakutana na TL rais mtarajiwa wa TLS
Mfano
TL:Jina lako nani?
Makonda:Paul Makonda
TL:Elimu yako?
Mknda:Chuo kikuu
TL:Unaweza kutaja shule yako kidato cha nne?
Mknda:Hapana!
TL:Idhibitishie mahakama kuwa cheti cha kidato cha nne haukukinunua kwa mtu!
Mknda:hapana...
Mawakala wakisimamia vituoni si inabidi wawepo wa kujumlisha wirayani mikoani na taifani je wana ICT wa chadema unaweza kutuambia kwa nini walivamiwa na computer zao kuharibiwa wakati wa kujumlisha matokeo?
Hamuwezi kuelewa tafsiri hiyo wakt vyeti Vyenu vywenyewe mnanunua
Labda jitahidi kurudia tena kusoma hiyo habar kama unaweza kuelewa
Hii tunasoma cc magreat thinker na kutafakari na imewekwa kwa waelewa kama sisi.
Sio mamburula kama wewe!!!
Salamu wakuu
Mimi nizungumzie kidogo kuhusu huyu mweshimiwa:-
Anaitwa Edward Ngoyai Lowassa
Ni mtu mkubwa sana kwa sabababu kaongoza jimbo la monduri kwa muda mrefu kama mbunge
Pia baada ya mtukufu rais JK kuona anafaa zaidi
Akampa uwaziri mkuu
Makofi kwake tafadhari!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.