Kila nikifikiria ile ripoti ya Makontena ya Mchanga iliyowasilishwa juzi hata matangazo yao siyaelewi!! Hili ni moja ya tangazo linalovuma kwenye baadhi ya vyombo vya habari likieleza kwamba nchi yenye maendeleo ni ile inayotengeneza nafasi za ajira, na kwamba mgodi wa ACACIA kwa kila muajiriwa...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza kuwepo kwa nafasi wazi ya Mbunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA, kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalum wa chama hicho Mhe. Dr. Elly Marko Macha aliyefariki tarehe 31 Machi 2017.
Akitoa taarifa ya nafasi hiyo...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza kuwepo kwa nafasi wazi ya Mbunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA, kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalum wa chama hicho Mhe. Dr. Elly Marko Macha aliyefariki tarehe 31 Machi 2017.
Akitoa taarifa ya nafasi hiyo...
Katika pitapita zangu nimekutana na Katuni hii ya watu wawili wakijadiliana kuhusu ugumu wa maisha huku mmoja akionekana kuunga mkono wazo la mwenzake!
Ni kitambo sasa kumekua na kelele za kuulizia cheti cha mtu anayeitwa Bashite as if wanaoulizia walimlipia ada wakati anasoma au walikilipia kule NECTA. Tusipoteze muda jamani ili uweze kuona cheti cha mwenzako sharti ulete chako kwanza!! Narudia tena Kabla ya kudai cheti cha mwenzio unatakiwa...
Akizungumza na Waziri Mwakyembe na watendaji wengine mjini Dodoma wakati akikabidhi Ofisi kwa Waziri mpya, Nape amesema, "Kwanza sina kinyongo na Rais na ningeomba watu wasinilishe maneno wala kufanya assumption zao. I am stronger than they think, nimelelewa humu ndani na ninazijua ups and...
Kwa hotuba hii ya Rais Mhe. John Pombe Magufuli juu ya watu wazuri kupingwa na kupigiwa kelele akitoa mfano wa RC Makonda na Prof. Muhongo mimi namuunga mkono 100%
Kama tunavyofahamu Serikali ya Awamu ya Tano imekua ikipambana na wezi wa mapato ya Serikali na wahujumu uchumi katika ngazi mbalimbali kwa nguvu zote.
Hatua ya kuamua mapato ya Serikali yakusanywe kielektroniki ililenga kuongeza mapato na kuziba mianya yote ya ubadhirifu. Jambo hili limekua...
Namshukuru Mungu kuzaliwa Tanzania, haya tunayoyashuhudia sasa vita ya Rushwa, Ufisadi, Madawa ya Kulevya, uonevu, Haki za wanyonge kukaliwa na kuporwa hivi hivi ni sehemu tu ya ujenzi wa Tanzania mpya isiyo na bugudha wala mawaa! Kila uchafu na mambo yaliyotendeka sirini yanawekwa peupeee, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.